Kunyimana raha tu. Wao wanafanya sie kuangalia tu kosa. Waache roho mbaya.
Daaa bora maana...
.
..
Hata waheshimiwa nadhani uwa wanapita kule..hapo wanatunga sheria huku roho inawauma
Hata kule chini kutafungwa!!
Hiyo sheria ni heri wangepitisha ile ya dini. Kunyimana raha tu.
unamaanisha jukwaa la wakubwa?
Hahahahaa, hamna mtu na akili yake ataweka video ya nude akaonesha na sura. Nancy huwa anaficha sura ispokuwa kwa video zilizo tayari viral. Sasa kuna mtu ataibuka na kufile complaint ya kudhalilishwa wakati video inaonesha kibamia tu ata[ata wakati mgumu kuthibitisha kwamba hiko kibamia kinachoonekana ni chake kweli!
Teh teh mie nasema ipitishwe wakati jukwaa la kikubwa nalipendaga...lol
Kosa lako ni kugongwa. Na wanaume waangalia porn ambao wanamwaga baada ya dakika 2.
Maana umeongea kwa uzoefu wako wa kutembea Na waamgalia porn wote hapa Tanganyika ,except me.
Tunagongwaga wote na waangalia porn,bata mzinga mkubwa wewe, mxiuuu zako! Mbona umeguswa! Pole sana porn zinakumalizq utajichua mpaka kwenye daladala! Uliweka mada ili ichangiwe au? Mxiu
Nimekujibu ulichosema!!
Ulijuaje kama waangalia porn wote wanamwaga after 2 minutes kama hukudate nao?
Karibu tena!!
Hushangai watu wote walochangia peke yako umejibiwa hivyo?
kiswahili kinachanganya, hivi huy nancy anasambaza au ameweka hizo picha za utupu, kama anasambaza hiyo itakuwa inamuhusu ila kama ameweka tu na watu wenyewe ndio wanaofuata hiyo haimuhusu kabisa:tape2::tape2: