Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
- Thread starter
- #21
Kwenye whatsapp jiachieni tu...kuna usalama.
Hata huko kumebanwa
Hata ukitumiwa bila ridhaa Wewe mpokeaji Na mtumaji wote jela.
Hujalisten kwa lissu Leo?
Kwenye whatsapp jiachieni tu...kuna usalama.
Hata huko kumebanwa
Hata ukitumiwa bila ridhaa Wewe mpokeaji Na mtumaji wote jela.
Hujalisten kwa lissu Leo?
Una uhakika na unachokizungumza?
Labda tuanzie hapa, wanapata vipi mazungumzo yako?
Kwenye whatsapp jiachieni tu...kuna usalama.
Leo nimeangalia Mara ya mwisho mwisho yule jamaa anayempiga katerero yule mama Deo Corleone
Mijanaume inayoangalia sana porn bwana ya ovyo kabisa kazi kujichua tu wakikutana na mzigo live dakika mbili nyingi....hoooi anatweta kama kakimbia masaa matatu
kule sauzi bwana ni private ukienda huko ni kiherehere chako tu..
Nazungumzia data kama picha au taarifa ovu.
Polisi wakijua kua Wewe unasambaza taarifa ovu,wamepewa nguvu za kisheria kukamata device yako Na kupekua.
Kama nimejibu swali lako accordingly!!
Mie mwenye walinibania sijui waliniona ni snitchbora tu hilo jukwaa lenu lifungwe kabisa manaake kila siku naomba aceess mnanibania
Mijanaume inayoangalia sana porn bwana ya ovyo kabisa kazi kujichua tu wakikutana na mzigo live dakika mbili nyingi....hoooi anatweta kama kakimbia masaa matatu
Hujajibu kabisa...swali ni kwamba wanaanza anza vipi kujua kuwa wewe ndiye unayesambaza pornography whatsapp?
Leo nimeangalia Mara ya mwisho mwisho yule jamaa anayempiga katerero yule mama Deo Corleone
bora tu hilo jukwaa lenu lifungwe kabisa manaake kila siku naomba aceess mnanibania