babu loliondo
Member
- May 23, 2011
- 7
- 2
Hodi hodi JF,
Kwanza niwapongeze kwa kazi nzito mnayoifanya ya kulijenga taifa letu bila kujali tofauti za kiitikadi na nyinginezo. Pili, naomba kuungana nanyi bega kwa bega ili hatimae tuweze kutoa michango yetu juu ya namna gani ya kufikia Tanzania ile ambayo kila mmoja wetu amekuwa akiitazamia yaani Tanzania yenye maendeleo endelevu.
Natumaini tutakuwa pamoja kwa hali na mali.
Naomba mnipokee.
Kwanza niwapongeze kwa kazi nzito mnayoifanya ya kulijenga taifa letu bila kujali tofauti za kiitikadi na nyinginezo. Pili, naomba kuungana nanyi bega kwa bega ili hatimae tuweze kutoa michango yetu juu ya namna gani ya kufikia Tanzania ile ambayo kila mmoja wetu amekuwa akiitazamia yaani Tanzania yenye maendeleo endelevu.
Natumaini tutakuwa pamoja kwa hali na mali.
Naomba mnipokee.