Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 140
Hv jaman, wabongo tutaenda mbinguni kweli? maana yesu alitumwa kuja kuokoa wana wa izrael, sasa itakuwaje ktk msururu wa kwenda mbinguni akionekanapo mbongo ? Kwanza yesu ataulizwa na MUNGU "hv ww nimekutuma ukaokoe watu gani" , yesu c huwa anajifanya ana majibu nadhani atajibu; 'wana wa izrael' hlf tena ata ambiwa "kwa hiyo na hao wa2 weusi huko nyuma umewatoa wapi?, naomba urudi nao mm cna pakuwaweka" pia mikanda ambayo ni ya wazungu huwa wanaigiza m2 mzungu huigiza kama ndiye malaika lkn mwafrika anaigiza kama SHETANI why?