Bwana Mtei matatani kwa kumchukua mwanamke msukule

Bwana Mtei matatani kwa kumchukua mwanamke msukule

Unaficha wakati kwenye whatsapp wadau wamepakua mzigo kama ulivyokutwa shimoni. Hahahahaaaaaa.....
 
Mtoto wa mtei kapiga mkwara endapo gazeti lolote litaandika habari hii kuihusisha na familia yao atawasue. Tusubiri tuone
Mtanzania limeandika tayari. Habari ni habari tu. Aende mahakamani sasa
 
Duuu kumbe ubillionaire unatafutwa hivi? Hakika matambiko ni hatari......
 
kinachoshangaza ni kwamba, kama ni mgonjwa wa akili aliingiaje humo bila kuvunjika na shimo ni refu? Ila pia kama ni msukule nani kathibitisha kuwa ni msukule? mbona hana nywele na kucha ndefu nani kamkata?
ila pia ni aibu sana kwa wamama ambao wametulia kumuangalia bila hata kusitiri maungo ya huyo mama. Mungu tu atusaidie
 
Ivi inawezekana humu kusiwe na hata mmoja mwenye izo imani, na mafanikio yake yametokana na misukule!!
 
Ni nani aliethibitisha kuwa huyo ni msukule na aliwekwa ndani na Mchaga Mtei kama mnavyosema?
 
HUYU MSICHANA anatakiwa aendleee kula unga wakati wanampa lise ndogo, wakimpa chakula tu anakufa
 
huyo dada inasemakana sio msukule bali ana matatizo ya akili juzi alienda kituo cha polisi mbezi akaingia chooni akakaa muda sana baadae askali wa kike wakamuogesha na kumsitili na akawakimbia
anawezekana akili yake inamtuma kukaa chooni tuu
Kinachonitatiza ni jinsi media zetu zinapokurupuka na kutoa taarifa za "hear say" badala ya kufanya uchambuzi wa kina ili kutoa taarifa iliyo sahihi. Hii concept ya "breaking news" imewafanya wasahau maadili na kukimbilia kutoa report zisizo na ukweli.
 
Issue ya misukule ni uongo wa hali ya juu kuwasadikisha watu kuwa mtu anaweza kufa/kuchukuliwa msukule mbali na makazi ya binadamu ili afanyishwe kazi na kisha mganga mashuhuri ( wa kufufua misukule) au mhubiri mashuhuri (kama afanyavyo gwajima) aweza kumfufua na kumrejesha katika utu wa kawaida!this is a satanic illusion! Baya zaidi jamii zetu za kiafrika zimekumbatia sana imani hii na kuendelea kutapeliwa kila siku
Bado hujakua itayaona tu. Yanakujia
 
Msukule ansongea kabisa,anasema hajaolewa Tena ana njaa aletewe chakula.
Sina uhakika kama ni msukule,Sema shida ni kwamba kakutwa kwa mtu mwenye fedha kwahiyo wazo LA kwanza litakuwa hilo tu,ila angekutwa kwa masikini huko tungemwita mwehu tu wa kawaida.
#mindset
 
Back
Top Bottom