chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Mleta Uzi tunaomba taarifa kamili je ni kweli au ni uongo
Tena mara ningi unapowaza wewe wena=zako tayari weshaanza kulishughulikia kichinichini.Wanasiasa wanaweza tumia mwanya huu kisiasa zaidi
Dunia haiwezi kuisha binadam ndiyo tunaisha na binadam hawawezi kuisha kila siku wanazaliwaDunia imeisha jaman..
Mmh watani wangu ni mainjinia kwenye hii sekta... Hawavumi ila wamoMchaga na uchawi wapi na wapi?
khaa sikujua mkuu kumbe hawa watani wetu nao wamo kwenye sekta hii" m najua ni watu wakuHustle selfMadeMmh watani wangu ni mainjinia kwenye hii sekta... Hawavumi ila wamo
Aah wapi ni mabingwa hao ila wanapenda kufanya collabo ndio maana hawastukiwi sanakhaa sikujua mkuu kumbe hawa watani wetu nao wamo kwenye sekta hii" m najua ni watu wakuHustle selfMade
Tena wa Rombo...huku ni kusingizianaMchaga na uchawi wapi na wapi?
Kuna mshikaji alikuwa analalamika kuwa wa Rombo wako fresh...na yeye wa huko huko...ndio nikajua kuuumbe...hapo ndugu yake kaolewa huko sasa vituko alivyokutana navyo vikamfanya aongee kwa hasira na kutunufaisha wengineAah wapi ni mabingwa hao ila wanapenda kufanya collabo ndio maana hawastukiwi sana
Mkuu Usihof Unaweza invest ha ukapata fedha Muhimu Kuzingatia bimaIla hii biashara ya umiliki wa vyombo vya usafiri niliikataa katakata kwasabab wabongo ni watu wa ajab sana ajali ikitokea iue abiria utasingiziwa umetoa kafara na wako serious nakulazimisha iwe kweli. Hata kama ni wazi ni uzembe wa dereva ama mwengine wewe mmiliki utaambiwa umetoa kafara tuuuuu.
Tunaish katika taifa linaloamini ushirikina kwa kila kitu. Nyambaff zetu