Bwana Mtei matatani kwa kumchukua mwanamke msukule

Bwana Mtei matatani kwa kumchukua mwanamke msukule

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Mwanamke akutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.
mtei.png

Msukule1.jpg
Msukule2.jpg
Msukule3.jpg

 
Hivi msukule anahusikaje kwenye mafanikio?
 
Inawezekana kapelekwa hapo kuharibu biashara ya Mtei
 
huyo dada inasemakana sio msukule bali ana matatizo ya akili juzi alienda kituo cha polisi mbezi akaingia chooni akakaa muda sana baadae askali wa kike wakamuogesha na kumsitili na akawakimbia
anawezekana akili yake inamtuma kukaa chooni tuu
 
huyo dada inasemakana sio msukule bali ana matatizo ya akili juzi alienda kituo cha polisi mbezi akaingia chooni akakaa muda sana baadae askali wa kike wakamuogesha na kumsitili na akawakimbia
anawezekana akili yake inamtuma kukaa chooni tuu
Watu kwa kuchafuana ni shida sijui Mtei kaingiaje...Mods pandisheni juu hii comment.
 
Back
Top Bottom