Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,602
- 22,707
Mwanamke akutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara na Mkazi wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.