mhinakifua
Senior Member
- Jun 18, 2014
- 177
- 62
Usiseme hivyo mkuu, wachaga wa sasa ni noma misukule hadi watoto wao, inauma sana, wachunguze vizuri kwani wana tisha kwenye hii fani.Mchaga na uchawi wapi na wapi?
Usiseme hivyo mkuu, wachaga wa sasa ni noma misukule hadi watoto wao, inauma sana, wachunguze vizuri kwani wana tisha kwenye hii fani.Mchaga na uchawi wapi na wapi?
Duu hatarihuyo dada inasemakana sio msukule bali ana matatizo ya akili juzi alienda kituo cha polisi mbezi akaingia chooni akakaa muda sana baadae askali wa kike wakamuogesha na kumsitili na akawakimbia
anawezekana akili yake inamtuma kukaa chooni tuu
Una uhakika huyu ni mwanamke mkuu? Kuna tofauti kati ya aika na haika refer Freeman mbowe nae anatumia haika.Sasa huyu Bibie Haika mbona ameshaharibu, fursa hiyo bana! angekaa kimya waandike alafu waisome namba.
Bora amekanusha maana sasahivi kila mtu ana smartphone! Anaona kila kitu!
Sasa huyu Bibie Haika mbona ameshaharibu, fursa hiyo bana! angekaa kimya waandike alafu waisome namba.
Kweli kabisa mdau, imani za ushirikina, uchawi ni katiba ya watanzania. Huyo mama/dada aliyeonekana kwa Mtei ana dalili zote za ukichaa (hutembea uchi), lakini watu wanang'ang'ania ni msukule wa Mtei.Ila hii biashara ya umiliki wa vyombo vya usafiri niliikataa katakata kwasabab wabongo ni watu wa ajab sana ajali ikitokea iue abiria utasingiziwa umetoa kafara na wako serious nakulazimisha iwe kweli. Hata kama ni wazi ni uzembe wa dereva ama mwengine wewe mmiliki utaambiwa umetoa kafara tuuuuu.
Tunaish katika taifa linaloamini ushirikina kwa kila kitu. Nyambaff zetu
Atujibu pia yule Babu yake kule Babati ameacha kutembea kwa miguu..Huyo Haika naona anazingua tu aiseeee.....
Maana hiyo habari fully Jana ilkuepo hadi Instagram na picha kadhaa
Kweli kabisa mdau, imani za ushirikina, uchawi ni katiba ya watanzania. Huyo mama/dada aliyeonekana kwa Mtei ana dalili zote za ukichaa (hutembea uchi), lakini watu wanang'ang'ania ni msukule wa Mtei.
Ndio maana huwa nawaza sana hivi: Akitokea bibi kizee asiyetunzwa na familia yake (ni mchafu, ana njaa na kakondeana sana) akitoka kwenda kuomba msaada kisha kwa bahati mbaya akajikwaa na kuanguka chini, kuna watu watasema huyo bibi ni mchawi kadondoka kwenye ungo.Watampiga na kumuua bibi wa watu kwa imani za kijinga za ushirikina.
Kwani watu huwa wanatembea na nini??? [emoji53]Atujibu pia yule Babu yake kule Babati ameacha kutembea kwa miguu..
baba yake anaitwa nani couz mi niko ushirika hapahata yule jamaa aliyefungwa pingu amechomekewa tu kwenye hili tukio,
hilo tukio lake la kufungwa pingu limetokea miaka mitatu iliyopita halihusiani na msukule wala kosa la dereva aliyetanua barabarani anaitwa Salimu Athumani baba yake ni lecturer chuo cha ushirika moshi.
ACHANA NA WAFIA DINIUngeongezea nyama kidogo kwenye maelezo yako kwa nini unaamini kwamba imani hiyo ni uongozi kuliko kutoa maelezo ya jumla.