Mna povu dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kamuokoe Lissu gerezani, acha kujificha kwenye kichaka cha Mbowe.
Lisu alipinga MARIDHIANO ili Mbowe aendelee kusota korokoroni,Ni busara ya kawaida tu kuwa katika shida, watu wanasahau tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Siyo siri kuna mgawanyiko wa makundi mawili..Lisu vs Mbowe, yako wazi ingawa nobody wants to acknowldge this, but deeds can evidence that!!
Jitokeze uwe msitari wa Mbele katika sakata la Kesi ya Lisu!
Ushawishi wako unaweza kumnusuru Lisu na "mateso" haya na vyuma na risasi zake mwilini
Mbowe kujitokeza ama kutojitokeza ni utashi wake mwenyewe hashurutishwi ila Lisu wakishindwa kumtetea najua atajitetea mwenyewe hatimaye mapambano yataendelea haya ni maisha tu tunapita nakuacha historiaNi busara ya kawaida tu kuwa katika shida, watu wanasahau tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Siyo siri kuna mgawanyiko wa makundi mawili..Lisu vs Mbowe, yako wazi ingawa nobody wants to acknowldge this, but deeds can evidence that!!
Jitokeze uwe msitari wa Mbele katika sakata la Kesi ya Lisu!
Ushawishi wako unaweza kumnusuru Lisu na "mateso" haya na vyuma na risasi zake mwilini
kulilia msada wa mbowe ni udhaifu aluta continuaAliambiwa akapumzike awaache wachape kazi,mwacheni mangi apumzike jamani 😀
hakuna haja ya kumlilia mbowe ila akija kuonyesha ubinadamu hakatazwiMlivyokuwa mkitukana kwenye kampeni zenu mlikuwa mkimpa raha? Kwendeni huko
Mimi sina mpango na wapumbavu wa ccm wala chadema ila nilicho andika ndiyo ukweli...sasa hivi mbowe kabanwa kutokana na hii issu....maana ana machaguo mawili tu either kumuunga mkono lissu au kujimaliza kabisa yeye na genge lake kwa kuonekana vibaraka wa ccm kwa asilimia 100% mbowe awezi kuji hide...kabanwa faida itakuwa kwa LISSUHayo ni mawazo yako na wala si sahihi. Kamuokoe Lissu gerezani, uache kujificha kwenye kichaka cha Aikael. Mlitaka akae pembeni na kakaa kwelikweli, chokochoko dhidi yake za nini tena?
Yaani umeoa,mkeo anakuzingua unakimbilia kwa Baba 😀,umeshakua pambana mwenyewekulilia msada wa mbowe ni udhaifu aluta continua
lock-up nonsense that is just a transit for heroFreedom Mbowe anahusika vipi?
Wamesema anawapotezea muda,ameondoka.
Na sasa Tundu Lissu habari yake kwisha. Yuko lock-up.
Which is a good thing,you know.
This person of frail health might just collapse on stage.
Sasa Tundu Lissu amewekwa ndani,Rais Samia anaweza kulala kwa amani tena.
Tundu Lissu yuko lock-up.
Badala ya kulipiza Tundu Lissu atafanya nini sasa ni bora uulize wewe utafanya nini sasa.
Tundu Lissu hawezi kufanya kitu sasa.
How can he do anything wakati yuko lock-up?
Wewe,you have to consider how to move forward from here.
Mbowe yupo mtegoni ...ndiyo shida ya kuwa kibaraka wa ccm sasa ajui afanye nini maana yupo katika dimbwi la laana ya usaliti na unafiki...hili tukio kukamatwa la lissu linaweza kummaliza kabisa mbowe maana ana tatizika kulipinga maana akilipinga anakuwa kamuunga mkono Lissu na kuisaliti timu yake ya walamba asali na kuisaliti CCM na kuonekana kaunga mkono NO REFORM NO ELECTION
Wakati wa magufuli chadema iligeuka KUWA CCM NA CCM YA MAGUFULI ILIGEUKA KUWA CHADEMA ndiyo maana Magufuli ana heshima kubwa kuliko kiongozi yoyote na wananchi wazalendo tunamkubali kwa asilimia 100%...wote walio mchukiq JPM walikuwa wahuni tu na wahuni ni wale wote wanao wachukia wazalendo na kuuchukia uzalendo...NIKAMA SERIKALI YA SAMIA NA GENGE LAKE, KWAO MZALENDO NI ADUI NA UZALENDO NI MAVII.Wewe ni sawa na mimi aisee. Mbowe kakilinda chama wakati wa Magufuli huku akina Lissu, Lema na Slaa wote wakiwa wamekimbia nchi. Leo anabezwa namna ile, hapana aisee. wamuache atulie. Hata sasa uongozi wa Lissu bado unamdhihaki Mbowe. Mfano kitendo cha kumkaribisha Dr. Slaa naye akasema waziwazi nimerudi kwakuwa wabaya wangu hawapo tena (akirefer Mbowe na clonies wake). Hii inaleta picha gani?
Ni ngumu maana akifanya hivyo atakuwa kamuunga mkono lissu na asipo fanya hivyo atakuwa kajidhihilisha kuwa yeye ni kibaraka wa walamba asali wa ccm ndani ya chadema .....MBOWE KAWEKWA MTU KATI KWA HILI TUKIO .Upo sahihi
mh. Mbowe atatumia hii fursa kwa maslahi yake ktk chama na mfumo, usishangae akiwa mstari wa mbele ktk ishu ya Lissu
Mbowe aliishastaafu na .mlisema ni mzee, mla rushwa .Ni busara ya kawaida tu kuwa katika shida, watu wanasahau tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Siyo siri kuna mgawanyiko wa makundi mawili..Lisu vs Mbowe, yako wazi ingawa nobody wants to acknowldge this, but deeds can evidence that!!
Jitokeze uwe msitari wa Mbele katika sakata la Kesi ya Lisu!
Ushawishi wako unaweza kumnusuru Lisu na "mateso" haya na vyuma na risasi zake mwilini
Tatizo lilianzia kwa TAL. Alikuwa hahudhurii kesi za FAMNi busara ya kawaida tu kuwa katika shida, watu wanasahau tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Siyo siri kuna mgawanyiko wa makundi mawili..Lisu vs Mbowe, yako wazi ingawa nobody wants to acknowldge this, but deeds can evidence that!!
Jitokeze uwe msitari wa Mbele katika sakata la Kesi ya Lisu!
Ushawishi wako unaweza kumnusuru Lisu na "mateso" haya na vyuma na risasi zake mwilini
Kumbe humjui mwamba atakuwa anashangilia anakunywa konyagiNi busara ya kawaida tu kuwa katika shida, watu wanasahau tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Siyo siri kuna mgawanyiko wa makundi mawili..Lisu vs Mbowe, yako wazi ingawa nobody wants to acknowldge this, but deeds can evidence that!!
Jitokeze uwe msitari wa Mbele katika sakata la Kesi ya Lisu!
Ushawishi wako unaweza kumnusuru Lisu na "mateso" haya na vyuma na risasi zake mwilini