TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Nyani Ngabu,
Nasubiri majibu yake.
Nasubiri majibu yake.
Ndesamburo, sir Andy chandeVerily i tell you she knows how?what?the man died for!!!After the coming of this regime mengi,ruge and now mufruki are gone!!!Others of that calibre should watch out!!!!many to follow!!!
1. Mimi nimehama Tanzania na sirudi. Hata likizo siku hizi nakwenda Turks and Caicos.
2. Mimi siamini katika mali za urithi, na hivyo sitarithi chochote katika familia yetu, kwa maamuzi yangu binafsi.
3. Moja ya sababu zilizonifanya niondoke Tanzania ni mtu kuhusishwa na familia, unachofanya chochote kwa uwezo unaonekana umefanya kwa familia.
4. Bahati mbaya nimezungumzia familia yangu, lakini kawaida sipendi, nimelazimishwa kufanya hivyo kwa sababu mtu kanisema namchukia Magufuli.
5. Kiingiacho mjini si haramu, kila mtu mwenye status husika kauziwa nyumba za serikali, sasa ulitaka familia yangu ikatae?
Familia yangu ingetaka ufisadi ningekuwa naongelea Swiss bank accounts za mamilioni mengi ya dola, si haya ninayoyaongelea.
6. Kama Mkatoliki, simchukii mtu, nachukia ubaya.
Habari nzima ya "kulifanyia nini taifa" inazidisha umasikini tu.Bado hujasema amelifanyia nini Taifa, ulichokisema hapa hata walimu wengi wa chekechea hukifanya. Wanaletewa mtoto hajui kusoma, wanamfundisha kusoma na kutuandaa kuwa tulivyo Leo.
Vipi Ali amefanya lipi kubwa zaidi ya walimu hawa watukufu wa chekechea na darasa la kwanza, jambo tofauti kuliko hats Remmy Ongara, kuliko Mpemba wa Mpemba effect, kuliko Jackson Kalindimya?
Mengi alikuwa mzee wa miaka 77 wakati anafariki umri ambao Nyerere aliondoka duniani.The man has gone but left a sour taste to me!!!I remember R. mengi wrote that nyerere regime fought against native rich men and empowered Asian richmen in our country!thats why bakhressa,patel,mo dewji and even manji are alive but mengi,ruge and now mufruki are gone!!!WHAT MESSAGE DOES THIS REGIME SEND TO A YOUNG NATIVE BUSSINESSMAN?????I FEAR!!!!
Dah! ujamaa ni nuksiThe man has gone but left a sour taste to me!!!I remember R. mengi wrote that nyerere regime fought against native rich men and empowered Asian richmen in our country!thats why bakhressa,patel,mo dewji and even manji are alive but mengi,ruge and now mufruki are gone!!!WHAT MESSAGE DOES THIS REGIME SEND TO A YOUNG NATIVE BUSSINESSMAN?????I FEAR!!!!
7. The devil is in the details.Ufisadi ni nini? Mtu aliyekuwa vastly underpaid kwa kiwango cha kazi yake, na hakushawishika kuiba, akipata nafasi ya kupata nyumba anapostaafu, nyumba itakayofanya kazi ya maisha yake iwe na maana, utasema ni fisadi?
8. Magufuli kuingilia mchakato kunaweza kuwa na ubaya kwa watu waliopata nyumba bila stahiki, mtu mwenye stahiki mchakato ukiingiliwa au usiingiliwe matokeo yake hayabadiliki.
9. Anzisha mjadala wa nyumba za watu wote waliouziwa zirudishwe. Mimi hata siwezi kukupinga. We do not depend on that house.
Acha kutulisha matango pori!!!praise team!!!Ruge vs konda,mengi suporting membe foi presidency,mufuruki vs sera ya viwanda bila malighafi ya kilimo,anauliza kilimo kwanza kiko wapi ili kusapoti viwanda??????Mengi alikuwa mzee wa miaka 77 wakati anafariki umri ambao Nyerere aliondoka duniani.
Ruge alikuwa na matatizo ya kiafya.
RIP Mufuruki simjui vizuri lakini ni maradhi yale yale.
Sio kila kifo atafutwe mchawi vifo vingi ni mpango wa Mungu.
Fallacy!!The man has gone but left a sour taste to me!!!I remember R. mengi wrote that nyerere regime fought against native rich men and empowered Asian richmen in our country!thats why bakhressa,patel,mo dewji and even manji are alive but mengi,ruge and now mufruki are gone!!!WHAT MESSAGE DOES THIS REGIME SEND TO A YOUNG NATIVE BUSSINESSMAN?????I FEAR!!!!
Mkuu umenifikirisha sana, hizi mbinu hata Putin amezitumia kustawisha utawala wake, eliminate matajiri tengeneza matajiri loyal kwako. Lakini sijui kama hii itafaa kwetu, labda kwa kuwa tumetoka kwenye mfumo wa ujamaa,The man has gone but left a sour taste to me!!!I remember R. mengi wrote that nyerere regime fought against native rich men and empowered Asian richmen in our country!thats why bakhressa,patel,mo dewji and even manji are alive but mengi,ruge and now mufruki are gone!!!WHAT MESSAGE DOES THIS REGIME SEND TO A YOUNG NATIVE BUSSINESSMAN?????I FEAR!!!!
Mbona hujajibu maswali yake aliyouliza? Kweli hafahamu ABC zake, wewe unazifahamu jibu maswali ya msingi aliyouliza. Maswali yake yanawakilisha kiu ya wengi. Acha kubangaiza, jibu hoja