Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

Mimi sio mgeni kwa huo uandishi wako, naamini kuna jambo la chini ya kapeti ambalo wadau humu jukwaani hawalifahamu.

Huwa unatumia maneno fulani yanayozidi mtazamo wa principle, yanakuwa makali sana.
Kuamini unaruhusiwa kuamini lolote.

Naheshimu na kutetea haki yako ya kuamini chochote unachotaka.

Lakini, facts huna kuhusu hilo.

Ukiwa na fikra za kulazimisha chuki iwepo, utaona chuki hata mtu anaposema kwa principle tu.

Ukiwa guluguja usiye na uti wa mgongo wala ubongo, nikipiga chafya kwa reflex action tu utaona nimechukia.

Mimi nimeondoka Tanzania Jiwe harufu ya mjini haijamuingia vizuri.

Hatujakutana kwenye mizunguko yetu.

Bora ungeniambia habari za George Bush au Obama, Mkapa, Mwinyi au Nyerere, labda ingeeleweka.

Hizi hapa facts.

Jiwe kaipa shavu familia yangu. Sina sababu ya kumchukia.

Jiwe Msukuma mwenzangu (angalau anajinasibisha na Wasukuma) sina sababu ya kumchukia.

Mimi naishi Marekani na sina mpango wa kurudi Bongo. Atakachofanya chochote hakinigusi binafsi. Sina sababu ya kumchukia.

These are facts.

Naandika kwa principle, sio chuki.

Ila wewe umezoea jamii yenye kuendeshwa na chuki, hivyo sishangai unaposhindwa kutofautisha principle na chuki.
 
Kuamini unaruhusiwa kuamini lolote.

Naheshimu na kutetea haki yako ya kuamini chochote unachotaka.

Lakini, facts huna kuhusu hilo.

Ukiwa na fikra za kulazimisha chuki iwepo, utaona chuki hata mtu anaposema kwa principle tu.

Ukiwa guluguja usiye na uti wa mgongo wala ubongo, nikipiga chafya kwa reflex action tu utaona nimechukia.

Mimi nimeondoka Tanzania Jiwe harufu ya mjini haijamuingia vizuri.

Hatujakutana kwenye mizunguko yetu.

Bora ungeniambia habari za George Bush au Obama, Mkapa, Mwinyi au Nyerere, labda ingeeleweka.

Hizi hapa facts.

Jiwe kaipa shavu familia yangu. Sina sababu ya kumchukia.

Jiwe Msukuma mwenzangu (angalau anajinasibisha na Wasukuma) sina sababu ya kumchukia.

Mimi naishi Marekani na sina mpango wa kurudi Bongo. Atakachofanya chochote hakinigusi binafsi. Sina sababu ya kumchukia.

These are facts.

Naandika kwa principle, sio chuki.

Ila wewe umezoea jamii yenye kuendeshwa na chuki, hivyo sishangai unaposhindwa kutofautisha principle na chuki.
Hongera kwa kuishi Marekani mkuu sana!
 
Sikujua Kama Ali alikuwa Engineer. Leo ndio nimefahamu hilo.

Niseme tu machache: HE DECIDED TO RUN IN THE COOLEST kama alivyomshauri CAG.
Mwezi April aliniomba nimsaidie kutafuta Diesel Generator ya KVA 6 kwa ajili ya mradi wake mpya Kigamboni.

Nikamshauri generator nzuri kama muhandisi na nikamshauri anunue hiyo. Kwa heshima yake sikuongeza profit margin bali nilimpa bei ya dukani na nikam - link na sales person moja kwa moja. Pamoja na bei niliyompa ALIOMBA PUNGUZO LA BEI AKILALAMIKA UGUMU WA MAISHA. Nikaongea na sales guy na akashusha kidogo. HAPO NILIGUNDUA KUWA ALI ANAPITIA KIPINDI KIGUMU FINANCIALLY. Sio Ali niliyemzoea huko nyuma. hakuwa mtu wa ku-bargain prices.

Aliheshimu sana ushauri wangu na tarehe 26/4/2019 alikuja dukani kununua DG.

HE DECIDED TO RUN IN THE COOLEST!.

ALI: Your destiny is justified and Allah will grant you Jannah and forgive you for your patience!
 
Sikujua Kama Ali alikuwa Engineer. Leo ndio nimefahamu hilo.

Niseme tu machache: HE DECIDED TO RUN IN THE COOLEST kama alivyomshauri CAG.
Mwezi April aliniomba nimsaidie kutafuta Diesel Generator ya KVA 6 kwa ajili ya mradi wake mpya Kigamboni.
Yani mtu kubargain bei ndio umehitimisha ana tatizo la kipesa? Hizi ni akili za wapi?
 
Hoja yako ni ipi ndugu
Wakati mnamwagia sifa wekeni hapa pia alifanya nini, achievements zake kibiashara kwa nchi, kwanza ningependa kujua aliajiri Watanzania wangapi, pili alichangia kwa kiasi maendeleo ya TZ kama Mfanyabiashara? Nilichokiona kuna watu wanapenda sana kujikweza klk uhalisia, mbona akina Bakhresa, Dewji, Patel wameajiri maelfu ya Watanzania na wanachangia kiasi kikubwa sana Uchumi wa Tanzania lkn hawajikwezi kila mahali?
Binafsi sijawahi kukutana na Mtanzania aliyeajiriwa na Mufuruki lkn nakumbana na wengi kila siku wanaofanya kazi Azam industries au Dewji.

Mswahili akipata kidogo matako hulia mbwata!
 
The man has gone but left a sour taste to me!!!I remember R. Mengi wrote that nyerere regime fought against native rich men and empowered Asian richmen in our country!

That’s why bakhressa,patel,mo dewji and even manji are alive but mengi,ruge and now mufruki are gone!!!

WHAT MESSAGE DOES THIS REGIME SEND TO A YOUNG NATIVE BUSSINESSMAN?????I FEAR!!!!
 
Safi sana Zitto, andiko zuri sana ingawa inaonekana limeandikwa kwa haraka.
 
Jiwe kaipa familia yangu nyumba ya serikali iliyokadiriwa kuwa ya dola za Kimarekani milioni tatu. Oysterbay.

Kwa hiyo familia yako ina mali iliyopatikana katika mazingira ya kifisadi, siyo?

Familia yako hiyo kwa nini haikuikataa hiyo mali?

Tuseme labda kwa wakati huo familia yako haikujua hilo, lakini, sasa inajua kuwa zoezi zima la uuzwaji wa nyumba za serikali chini ya Magufuli akiwa waziri, halikufanyika kiuaminifu.

Kwa nini familia yako isiirudishe hiyo nyumba?

Na kama unasimamia ‘principle’, na kama unauchukia ufisadi, na kama familia yako imenufaika na ufisadi wa Magufuli, basi una kila sababu ya kumchukia Magufuli kwa msingi wa ufisadi.

La, ukiupinga ufisadi huku unasema kuwa familia yako ni mnufaika wa ufisadi, halafu papo hapo unasema kuwa huna sababu ya kumchukia Magufuli kwa sababu kaipa familia yako nyumba ya mamilioni [?] ya dola Za Kimarekani, ni kujichanganya.
 
Duh, umepaniki sana vipi ulikosa ajira nini mkuu?
Alafu kumbuka hajajikweza kama unavyoeleza hapa na si ajabu hata haufahamu ABC zinazomhusu, kwa kutofahamu ABC zinazomhusu kuna justfy kuwa hakuwa mtu wa makuu kiivyo

Mbona hujajibu maswali yake aliyouliza? Kweli hafahamu ABC zake, wewe unazifahamu jibu maswali ya msingi aliyouliza. Maswali yake yanawakilisha kiu ya wengi. Acha kubangaiza, jibu hoja
 
Kiranga,
Bado hujasema amelifanyia nini Taifa, ulichokisema hapa hata walimu wengi wa chekechea hukifanya. Wanaletewa mtoto hajui kusoma, wanamfundisha kusoma na kutuandaa kuwa tulivyo Leo.

Vipi Ali amefanya lipi kubwa zaidi ya walimu hawa watukufu wa chekechea na darasa la kwanza, jambo tofauti kuliko hats Remmy Ongara, kuliko Mpemba wa Mpemba effect, kuliko Jackson Kalindimya?
 
Back
Top Bottom