50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,139
- 4,117
Huyu Mohamed Said anajua sana kusimulia mambo. Hongera zake kutujulisha yaliyopitaNami nahisi hivyo huyo Mohamed Said anajua vitu vingi sana na watu wengi sana hasa wale waliokula chumvi nyingi.