Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Huyu ni mmoja wa Wabunge vijana WAJINGA kabisa TAIFA hili limepata kuwa nao. Bado haridhiki na uweka hazina wa CCM. Anataka aingie kwenye Cabinet ya Kikwete kabla ya 2015. Mle Bungeni hafanyi kazi ya Ubunge tena. Amemzidi ujinga hata Lusinde kwa sasa.
 
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.

Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.

Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?

Hahahaaa, yaani mwigulu chemba awanyime wapinzani usingizi? Nimesikiliza bunge leo nikaona ni kama chemba ilayovuja kila Nchemba alipokua anaongea ***** wake ... dah!
 
Ni kweli kabisa huyu jamaa ni tishio kwa CCM yake, kwani kauli yake moja inapoteza wapiga kura elfu moja wa CCM hasa wenye akili timamu.
 
Nchemba ni kichwa cha panzi anaipaisha chadema bila kujua,hakuna wakati wowote aliojadili budget tangu bunge hili lianze zaidi ya kukosoa paragraph na spelling kwenye hotuba za wapinzani ha ha ile shilingi 210,000 alizohongwa na akina wassira zimemtia kiwewe, je ndio walichomtuma wanairamba magharibi
 
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.

Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.

Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?
Ni tishio vibaya mno..yeye ndio striker (jembe) anayotegemewa na CCM sasa hivi. Na hii ndio first eleven yao. Bila hawa CCM lazima ipigwe bao.
Komba, Lusinde, Manyanya, Shibuda, Mabumba, Makinda, Lukuvi, Wasira, Mwigulu, Nape na 11 ni ww mwenyewe.
 
Nmekuwa naona wabunge makini ndani ya bunge wakisimama wanaanzia kuzungumzia matatizo yaliyoko ndani ya majimbo yao kwanza kwa kuzingatia muda mdogo waliopewa kuchangia bajeti. Huyu Nchemba"al maarufu" mbunge mzinzi muda wote akipewa nafasi hatumii kuoanisha bajeti na matatizo ya wananchi wa Iramba. Habari nilizonazo ni kuwa Iramba ni miongoni mwa majimbo maskini sana na inahitaji jitihada za ziada na makusudi kuwaletea wananchi maendeleo na kuondokana na umaskini wa kutisha. Lakini namshangaa sana huyu Bwana kuendelea kuwashambulia Chadema mahali pasipostahiki. Tangu bunge limeanza hajachangia chochote cha maana kwa wananchi wa Iramba. Je hicho ndicho alichotumwa na Wananchi wa Iramba kupeleka bungeni? Nimepata habari toka kwa baadhi ya wananchi kuwa wanajuta walifanya makosa kumchagua mzinzi kuwa mbunge wao. Na wanasema kuwa 2015 hakuna wa kumrudisha bungeni tena. Kijana mdogo wa lika lake hajipambanui kwa weledi na hekima ya kuwatumikia wananchi. Ni aibu kubwa.
 
Ama kweli ushabiki upofu!
Unaweza kweli kudiriki kusifia utumbo na ***** anaotamka Mwigulu?
 
yaani watu walio join june wanaandika vitu vya ajabu sana
 
Ambatanisha Uzi wako na hayo unayofikiri Mwigulu ameyaongea na yana Tija kwa taifa na wakati huo huo yanahatarisha Upinzani.Ndiyo tujadili siyo kutuwekea Mkusanyiko wa maneno ambayo yanatoa majumuhisho

Mimi nakuunga mkono, mtoa hoja aweke hapa ni hoja gani au zipi zinazomfanya Mwigullu Nchemba kuwa ni tishio?
Weka hoja hapa moja baada ya nyingine, pia weka sababu gani unaona kuwa hizo hoja ni tishio. Baada ya hapo ndipo tutaweza kujadili kama yeye ni tishio au sio.
 
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.

Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.

Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?


Huyo hana lolote yahani hata kuanalyse mambo hawezi, mi sioni tishio lolote zaidi ya kubwabwaja tu. Mtoto mdogo kama mwigulu hawezi kuwa tishio kwa CDM. Huyo mi nilidhani kwa vile ni kijana msomi basi angalau atabadilisha mtazamo wa chama lkn zaidi naye anapita mulemule kulinda masilahi ya CCM, watu kama hawa huwa hawafiki mbali kisiasa maana ni wanafiki.

Akiongea yeye ni kubwabwaja tu na CCM kama ndo Miungu wake, kijana msomi mzima ambapo tulitegemea nchi ibadilike kupitia yeye lakini imekuwa tofauti. Yeye na Nape hawana tofauti na hao ndo wanaomwangusha kikwete.
 
Ndugu wana JF kuna msemo mmoja unasema "mtu mzima ovyo!!", kwa mtizamo wangu Mwigulu Nchemba ni mbunge kijana ovyo sana wa CCM na anawaibisha sana wananchi waliomwamini na kumchagua awe mwakilishi wao bungeni maana anaacha kufanya kazi iliyompeleka bungeni badala yake amekuwa mtu wa kueneza propaganda za chama chake bungeni.Lakini pia nina wasiwasi na elimu yake ya masters anayosema kuwa nayo kila wakati maana mambo anayofanya hayafanani na msomi wa level hiyo yaani anatoa argument za kipumbavu kabisa na anaonekana kama mtu muhuni fulani bungeni.Kwa kweli nashawishika wananchi waliomchagua wamekosa mwakilishi mzuri wa kuwasemea bungeni.Lakini anakiabisha chama chake kwa nafasi aliyonayo na ndio maana kuna uzi humu ndani unaomtaja Nchemba anayechangia kukiua chama chake.sijui UVCCM kama wanamwona huyu jamaa!

CCM walitakiwa wamkalishe huyu jamaa kama wanataka heshima,Ata yule waziri aliyemueleza Mwenyekiti juu ya uvunjifu mwingi wa kanuni za bunge alikuwa anamlenga yy kwani kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake na kazi ya kujibu ni ya mtoa hoja ambaye ni waziri kwa niaba ya serikali sasa inashangaza mtu anasimama na kuanza kuyachambua maoni ya mtu kana kwamba hiyo ndio hoja ya msingi.Ww toa maoni yako juu ya hoja iliyopo mezani na sio kusubiri wapinzani watoe maoni na ww utafute hoja za kujibu maoni ya upinzani.Huyu jamaa ni bure kabisa na sijui CCM walitumia vigezo gani kumpa ata huo uweka hazina maana kwa upeo wake astahiri ata kuwa kiongozi wa nyumba kumi.
 
Chemba ni linafiki lenye kujipendekeza lipate vyeo, Msigwa alisema
 
Nmekuwa naona wabunge makini ndani ya bunge wakisimama wanaanzia kuzungumzia matatizo yaliyoko ndani ya majimbo yao kwanza kwa kuzingatia muda mdogo waliopewa kuchangia bajeti. Huyu Nchemba"al maarufu" mbunge mzinzi muda wote akipewa nafasi hatumii kuoanisha bajeti na matatizo ya wananchi wa Iramba. Habari nilizonazo ni kuwa Iramba ni miongoni mwa majimbo maskini sana na inahitaji jitihada za ziada na makusudi kuwaletea wananchi maendeleo na kuondokana na umaskini wa kutisha. Lakini namshangaa sana huyu Bwana kuendelea kuwashambulia Chadema mahali pasipostahiki. Tangu bunge limeanza hajachangia chochote cha maana kwa wananchi wa Iramba. Je hicho ndicho alichotumwa na Wananchi wa Iramba kupeleka bungeni? Nimepata habari toka kwa baadhi ya wananchi kuwa wanajuta walifanya makosa kumchagua mzinzi kuwa mbunge wao. Na wanasema kuwa 2015 hakuna wa kumrudisha bungeni tena. Kijana mdogo wa lika lake hajipambanui kwa weledi na hekima ya kuwatumikia wananchi. Ni aibu kubwa.

Nahisi anafikiri kuwa jimbo lake liko hatarini kuchukuliwa na CHADEMA uchaguzi ujao. Hivyo ameanza kampeni mapema. Tatizo anashindwa kuelewa kuwa bungeni sio mahala pa kampeni za kisiasa za vijembe. Ukifanya hivyo bungeni watu watakuona hauko makini kwani utakuwa unatoka nje ya mada muda wote. Kinachojadiliwa bungeni kwa sasa ni bajeti tu. Ni muhimu kuangalia ni jinsi gani bajeti itatumika kuletea wapiga kura wake maendeleo.

 
Hivi kuwa tishio maana yake ninini?
Nijuavyo mm TISHIO ni dudu baya sana lenye sura mbaya iliyochongwa aidha kwa mpingo ambalo linatumika na mzazi kumtishia mtoto anayelia sana, au linatumika na mkulima kufukuzia wanyama waharibifu shambani, kama vile Ngedere, Nguchiro na kwale.
 
Poa kabisa mwanakwetu12. Ukweli uko palepale. Mimi simfagilii mwigulu kwa sababu wakati mwingine anakurupuka na kupoteza hadhi yake kama mbuge, ni kweli ccm wamemwamndaa kuwachafua wapinzani. kazi animudu. lkn kwangu muhimu ni tahadhali kuwa wapinzani wao wakiingia madarakani ni wasafi? hapo ndo pagumu, isije ikafika ikawa chukua daima mapema (cdm). Cha msingi ni kuwa na utaifa kwanza (maadili) na kuwapa uwezo wananchi kuwahoji viongozi wao-hapo wananchi wataogopwa, lkn kwa mwendo wa sasa usitegemee cdm kuwa tofauti sana na ccm -labda miaka miwili ya mwanzo. Naombea wakiingia wasisitupe kama ccm:director:
 
Inaelekea wewe na bunge ni vitu viwili tofauti, mpaka uwekewe mwigulu kasema nini ndo uchangie, pole, Sikiliza buunge utasikia na kuona anaongea nini? Muda wa kuanza kuweka hoja moja baada ya nyingine hapa haupo
 
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.

Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.

Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?

Tatizo w mleta thread umeruhusu akili ndogo itawale akili kubwa uliyonayo.
 
Mwigulu ndio kaandika haya kwa vile anamini haya na ameyasema bungeni.Ila anasahu kuwa an invest ktk wrong and dangerous project.Sasa hivi CCM wakidai miongozo na taarifa inapoteza muda inaonekana kam wanajisema wenyewe.
 
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.

Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.

Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?

Mwanakwetu....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! In reading your post between lines, I can conclude that brain yako ni kama ya Mwigulu! Pests za thinking ya thinkers.
 
Kwanza napenda kuwapa pole sana wapiga kura waliompa kura huyu kijana wakiamini damu changa inaenda kuwasemea yale mengi waliyokuwanayo toka muda mrefu.Pole iwafikie viongozi wa chama ambao nao walikuwa na imani kubwa na hii damu changa kwamba inaweza kuwashawishi vijana wengine kurudisha imani yao kwa chama.

Kwa hakika huyu jamaa ni bure kabisa na haionyeshi kama elimu yake ina athari yoyote ktk maisha yake.Maana kila anapopata muda wa kuwasemea wananchi wake ktk hoja mbalimbali zinazoletwa na serikali yy ugeuka kuwa msemaji wa serikali ama mchambuzi wa maoni yaliyotolewa na upinzani.Mwenyewe anafikiri ni sifa sana na kuwa watu watamuona yuko makini kwa kukesha huku akipitia mstari baada ya mstari wa maoni ya upinzani kumbe anashindwa kujua kuwa anapoteza muda kwa kuchambua maoni badala ya hoja iliyopo mezani.Anashindwa kujua kwamba wenzake kama akina J.Makamba wamefungua mpaka ofisi zinazokusanya na kuelezea mambo mbalimbali yanayotokea majimboni kwao na sio kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi.Muda huu ungeutumia kuzichambua hoja zinazoletwa na serikali na ukaangalia zinaigusa vp jimbo lako ungekuwa unafanya jambo la maana.

Kwa hiyo staili yako ya wabunge kuanza kukucheka mara tu unaposimama ata kabla haujaanza kusema ni dhahiri kuwa unajishushia heshima yako mbele ya jamii na kamwe mtu mwenye akili na busara zake hawezi kukuita ama kuitaji msaada wako wa mawazo hata siku moja.Badilika kijana unatuaibisha vijana wenzako huu sio muda wa kutafuta sifa ni muda wa kufanya kazi uliyotumwa na wananchi wako na kumbuka umetumwa na Wananchi wa jimboni mwako na sio Chama ambacho ata nao kama ni makini hawawezi kufurahia kile ufanyacho ukiwa bungeni.Tazama kati ya dk 10 ulizopewa leo hakuna lolote ulilochangia ktk hoja iliyopo mezani na badala yake umeharisha pumba zisizokuwa na rangi wala mvuto kwa INZI.
 
Back
Top Bottom