Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Mwigulu ni mshamba mkubwa na mwizi kupindukia ndio maana anajikomba sana kwa ccm.
 
Mwigulu si wa kulaumiwa bali hizi elimu za kughushi ambazo zimefanya watu wengi waule serikalini kutokana na serikali yenyewe kuingia madarakani kwa kughushi aka kuchakachua. Hivyo msimshangae mwigulu aka casanova. Anawatumikia wanaofanya mkono wake uende kinywani. Kama nao ni wapuuzi kuweza kukubali upuuzi wake sasa yeye afanye nini?
 
CCM ni kama police wao, pamoja na course kibao walizohudhuria huku wakipewa per diem toka kwa wavuja jasho.Bado hawajui maana wala kuwa namifano hai ya:human rights, fairness, human freedom.Somo la logic walikariri tuu na hawakujua wapi pa ku apply.

MWIGULU NA WENZIE WA CCM HAWAJUI KUWA KUWA NA VITU VINGI KICHWANI HAKUNA TOFAUTI NA TAPE(ya kuhifadhi) KM MTU HAWEZI RETRIEVE AN KUPROCESS(ANALYSE) INFORMATION, kabla ya kuja na new info.Mbaya hajui kuwa Dunia ya leo kuna better memory gadets zenye uwezo mkubwa na ubora kiasi cha kutohitaji human memory.

Migulu na vichaa wengine wa ccm wanadhani kukariki kunawapa analytical skills.smart kids wanaweza tumia wale wazembe weenye memory kubwa km data bank, kama memories zao ni ndogo.Wkati wakihitajia wana recall tuu.

Mwigulu hakuweza analyse na kuona kuwa CDM walisupport mmogo ulionza na si kuanzisha mgomo au hata kuwapa misaada ya hela na mafunzo.

USISHANGAE CCM WKIJA NA KIMEO kipya watafute mhuni wao na kumatak aiigize kama kafanyiwa na CDM au hata kalippwa.
 
Nchemba ni member humu. Nadhani atakuja kujibu hizi hoja. Tusubiri.
 
hawa mabwana wananitatanisha naomba mwongozo wenu wana jamiiforums.... nani mwanasiasa na nani man of the people anayetetea mnaslahi ya wananchi kati ya mnyika na mwigulu nchemba?? naona wanalumbana mno ,, na mhe mnyika ana reaction hata kwa spika na wenyekiti hasa manyanya!! na ccm kwa ujumla mnyika ana wacritise mno
 
Mleta mada acha utan kujifanya kipofu! Kati ya Tembo na kondoo nan mkubwa?
 
hawa mabwana wananitatanisha naomba mwongozo wenu wana jamiiforums.... nani mwanasiasa na nani man of the people anayetetea mnaslahi ya wananchi kati ya mnyika na mwigulu nchemba?? naona wanalumbana mno ,, na mhe mnyika ana reaction hata kwa spika na wenyekiti hasa manyanya!! na ccm kwa ujumla mnyika ana wacritise mno


Umechanganywa na nini?wewe umeona mwigulu kachangia nini kwenye bajeti ya ofisi ya rais?na uliona amechangia nini kwenye bajeti ya taifa?wape pole wapiga kura wake
 
acha kumdharau Mnyika,haiwezekani ukamlinganisha JJ na huyo bwana,JJ Mnyika ni sawa sawa na DHAIFU kumi wa NYI NYI EM na wabunge selasini.
 
Ili kufanya justice kwanini isiwe Mwigulu Vs Lusinde?
 
Mbona tafauti ziko wazi..kama MCHICHA(MNYIKA) na NYASI(MCHEMBA)
vox populi,Vox dei
 
acha kumdharau Mnyika,haiwezekani ukamlinganisha JJ na huyo bwana,JJ Mnyika ni sawa sawa na DHAIFU kumi wa NYI NYI EM na wabunge selasini.

acha masihara ww wabunge wenyewe kina lusinde, komba na lukuvi ndio useme kumi.. Labda wawe 200
 
Akutukanae hakuchagulii tusi!!!!!Hayo ni matusi kwa JJ kumfananisha na huyo mropokaji!!!
Ni sawa na kuuliza hivi barafu na moto kipi kinaunguza zaidi?
 
Back
Top Bottom