Kwanza napenda kuwapa pole sana wapiga kura waliompa kura huyu kijana wakiamini damu changa inaenda kuwasemea yale mengi waliyokuwanayo toka muda mrefu.Pole iwafikie viongozi wa chama ambao nao walikuwa na imani kubwa na hii damu changa kwamba inaweza kuwashawishi vijana wengine kurudisha imani yao kwa chama.
Kwa hakika huyu jamaa ni bure kabisa na haionyeshi kama elimu yake ina athari yoyote ktk maisha yake.Maana kila anapopata muda wa kuwasemea wananchi wake ktk hoja mbalimbali zinazoletwa na serikali yy ugeuka kuwa msemaji wa serikali ama mchambuzi wa maoni yaliyotolewa na upinzani.Mwenyewe anafikiri ni sifa sana na kuwa watu watamuona yuko makini kwa kukesha huku akipitia mstari baada ya mstari wa maoni ya upinzani kumbe anashindwa kujua kuwa anapoteza muda kwa kuchambua maoni badala ya hoja iliyopo mezani.Anashindwa kujua kwamba wenzake kama akina J.Makamba wamefungua mpaka ofisi zinazokusanya na kuelezea mambo mbalimbali yanayotokea majimboni kwao na sio kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi.Muda huu ungeutumia kuzichambua hoja zinazoletwa na serikali na ukaangalia zinaigusa vp jimbo lako ungekuwa unafanya jambo la maana.
Kwa hiyo staili yako ya wabunge kuanza kukucheka mara tu unaposimama ata kabla haujaanza kusema ni dhahiri kuwa unajishushia heshima yako mbele ya jamii na kamwe mtu mwenye akili na busara zake hawezi kukuita ama kuitaji msaada wako wa mawazo hata siku moja.Badilika kijana unatuaibisha vijana wenzako huu sio muda wa kutafuta sifa ni muda wa kufanya kazi uliyotumwa na wananchi wako na kumbuka umetumwa na Wananchi wa jimboni mwako na sio Chama ambacho ata nao kama ni makini hawawezi kufurahia kile ufanyacho ukiwa bungeni.Tazama kati ya dk 10 ulizopewa leo hakuna lolote ulilochangia ktk hoja iliyopo mezani na badala yake umeharisha pumba zisizokuwa na rangi wala mvuto kwa INZI.
Kwanza napenda kuwapa pole sana wapiga kura waliompa kura huyu kijana wakiamini damu changa inaenda kuwasemea yale mengi waliyokuwanayo toka muda mrefu.Pole iwafikie viongozi wa chama ambao nao walikuwa na imani kubwa na hii damu changa kwamba inaweza kuwashawishi vijana wengine kurudisha imani yao kwa chama.
Kwa hakika huyu jamaa ni bure kabisa na haionyeshi kama elimu yake ina athari yoyote ktk maisha yake.Maana kila anapopata muda wa kuwasemea wananchi wake ktk hoja mbalimbali zinazoletwa na serikali yy ugeuka kuwa msemaji wa serikali ama mchambuzi wa maoni yaliyotolewa na upinzani.Mwenyewe anafikiri ni sifa sana na kuwa watu watamuona yuko makini kwa kukesha huku akipitia mstari baada ya mstari wa maoni ya upinzani kumbe anashindwa kujua kuwa anapoteza muda kwa kuchambua maoni badala ya hoja iliyopo mezani.Anashindwa kujua kwamba wenzake kama akina J.Makamba wamefungua mpaka ofisi zinazokusanya na kuelezea mambo mbalimbali yanayotokea majimboni kwao na sio kupoteza muda kwa mambo yasiyo ya msingi.Muda huu ungeutumia kuzichambua hoja zinazoletwa na serikali na ukaangalia zinaigusa vp jimbo lako ungekuwa unafanya jambo la maana.
Kwa hiyo staili yako ya wabunge kuanza kukucheka mara tu unaposimama ata kabla haujaanza kusema ni dhahiri kuwa unajishushia heshima yako mbele ya jamii na kamwe mtu mwenye akili na busara zake hawezi kukuita ama kuitaji msaada wako wa mawazo hata siku moja.Badilika kijana unatuaibisha vijana wenzako huu sio muda wa kutafuta sifa ni muda wa kufanya kazi uliyotumwa na wananchi wako na kumbuka umetumwa na Wananchi wa jimboni mwako na sio Chama ambacho ata nao kama ni makini hawawezi kufurahia kile ufanyacho ukiwa bungeni.Tazama kati ya dk 10 ulizopewa leo hakuna lolote ulilochangia ktk hoja iliyopo mezani na badala yake umeharisha pumba zisizokuwa na rangi wala mvuto kwa INZI.
huyo ni vuvuzela tu kama nape.
Siku zote ukiisha ona wabunge, wanachama, wapenzi na viongozi wa chama cha washwa washwa wana lalamika kama hivi ujue jamaa amewashika pabaya aisee na hakamatiki, sio siri Mwigulu ameisha pabaya cdm kila siku wanamuwaza jinsi yakumdhibiti jamaa hawapati majibu na yeye amewaonyesha watanzania udhaifu wa bajeti ya upinzani na kuiita ni ya harusi na si ya nchi, kuna ubaya gani nae kuwaelimisha watanzania?
Siku zote ukiisha ona wabunge, wanachama, wapenzi na viongozi wa chama cha washwa washwa wana lalamika kama hivi ujue jamaa amewashika pabaya aisee na hakamatiki, sio siri Mwigulu ameisha pabaya cdm kila siku wanamuwaza jinsi yakumdhibiti jamaa hawapati majibu na yeye amewaonyesha watanzania udhaifu wa bajeti ya upinzani na kuiita ni ya harusi na si ya nchi, kuna ubaya gani nae kuwaelimisha watanzania?
Siku zote ukiisha ona wabunge, wanachama, wapenzi na viongozi wa chama cha washwa washwa wana lalamika kama hivi ujue jamaa amewashika pabaya aisee na hakamatiki, sio siri Mwigulu ameisha pabaya cdm kila siku wanamuwaza jinsi yakumdhibiti jamaa hawapati majibu na yeye amewaonyesha watanzania udhaifu wa bajeti ya upinzani na kuiita ni ya harusi na si ya nchi, kuna ubaya gani nae kuwaelimisha watanzania?
Kile chuo chenu cha uongozi siku hizi kinatoa certificate ya matusi.Washwa washwa ni ugonjwa mbaya sana , na ukiisha kuwa na ugonjwa wa washwa washwa hakuna dawa zaidi yakukunwa pale panapo washa
Huyu ni mmoja wa Wabunge vijana WAJINGA kabisa TAIFA hili limepata kuwa nao. Bado haridhiki na uweka hazina wa CCM. Anataka aingie kwenye Cabinet ya Kikwete kabla ya 2015. Mle Bungeni hafanyi kazi ya Ubunge tena. Amemzidi ujinga hata Lusinde kwa sasa.
Mbunge wa Iramba Mashariki, Mwigullu Nchemba anaonekana kuwanyima usingizi Wapinzani na mashabiki wao.
Je inawezekana Mbunge huyu akawa tishio kwa wapinzani?
Kwa maoni yangu mimi naona kama NI kweli wapinzani wanamgwaya Mwigullu, kwani kama siyo tishio, basi wasingehangaika naye.
Si wabunge tu wa Upinzani wanaohaha kuhakikisha CCM haufuruki kupitia kwa Mwigullu, bali hata mashabiki wao, kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na wengine wanaonekana kutumia muda mrefu kumponda Mbunge huyo machachari wa CCM.
Lakini swali la msingi ni , je Anayoyasema Mwigullu hayana msingi au sasa Wapinzani nao wanaona kama wanashikwa pabaya na wanajaribu kutapatapa? Na kama wanatapatapa, wanaogopa nini? kwani nao wana madhambi? Ni mabaya gani hayo?