Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Mimi naona tusiwe na mawaziri maana hamna kazi wanayofanya , bora ma katibu wakuu wafanye kazi zote waripoti kwa waziri mkuu.
 
mkuchika huyu ana jipya?

Amesema ana horodha ya wakurugenzi 35 waliochukuliwa hatua na anadai wapo waliofungwa na wao Kama tamisemi huwa wanawachukulia hatua.
 
Amesema ana horodha ya wakurugenzi 35 waliochukuliwa hatua na anadai wapo waliofungwa na wao Kama tamisemi huwa wanawachukulia hatua.

kasema nawataja naona ameputezea,kweli huu usanii
 
mkuchika ame_buy time weeeee mpaka muda umekwisha hehehehehehheehe.. duhuu..
 
ndugu yangu mimi ntaanzia maandamano dodoma hadi kwenye jengo la bunge maana hii ni aibu,ukarabati tu milion 400 je kujenga ingekuaje?ni ukarabati uliotumia material za gold au diamond? am confused

Ngoja nihamasishe na wengine ili tuwe wengi zaidi kwenye maandamano. Naandaa na mabango kabisa. Hawa mafisadi wamesha tuchosha sasa!
 
Tatizo la nchi yetu ni umbu la uongozi lililojaa Serikalini.
 
Ccm hawana tena ubavu wa kuwachimba mkwara wabunge wao kwa hali waliyo nayo watakuwawanafanya kama alivyosema Lusinde kutishia kujamba......

Wasnafanya maigizo tuu! Walikuwa wapi siku zote?

Nyani kumshutumu Ngedere kwa uharibifu wa shamba itachukua muda mrefu kwa Wanyama Wengine kuamini ki ukweli kinachoendelea
 
mkuchika bana, hata sielewi anaongea nini zaidi ya kutoa ahadi mpya
 
Amesema ana horodha ya wakurugenzi 35 waliochukuliwa hatua na anadai wapo waliofungwa na wao Kama tamisemi huwa wanawachukulia hatua.


mkuu usiwe msahaulifu sana......mwaka jana alikuja na orodha kama hiyo..na kwa taarifa yako watendaji hao wako kazini kabisa...
 
Ngoja nihamasishe na wengine ili tuwe wengi zaidi kwenye maandamano. Naandaa na mabango kabisa. Hawa mafisadi wamesha tuchosha sasa!

tukiamua mi naihakika nchi nzima itatuunga mkono isipokua ccm
 
Mambo yatabadilika tu, nchi ni ya kwetu wananchi na si ya kwao mawaziri mafisadi!! Halafu JK sijui kawapata wapi hawa?! Kwenye katiba mpya mawaziri wasiwe wabunge.
 
mkuu usiwe msahaulifu sana......mwaka jana alikuja na orodha kama hiyo..na kwa taarifa yako watendaji hao wako kazini kabisa...

tena wanaendelea kupokea malipo kutoka serikalini,duuh its too much,wabunge tusaidieni,watoeni hawa watu hawatufai
 
Mimi naona tusiwe na mawaziri maana hamna kazi wanayofanya , bora ma katibu wakuu wafanye kazi zote waripoti kwa waziri mkuu.

Ni kweli kabisa, hakuna cha ajabu ambacho waziri anafanya katibu mkuu asiweze kukifanya. Katika kupunguza gharama za uendeshaji serikali unapiga wote chini wizara zinaendeshwa na makatibu wakuu wakisaidiwa na wakurugezi. Huko mikoani unaondoa wakuu wa mikoa na wa wilaya wote maana hawana wanachofanya cha maana zaidi ya kulinda magamba.
 
Back
Top Bottom