duuh bora hili zee limemaliza maana nilikua nakaribia kusinzia
Kilaza lililogoma kuachia uwaziri likiacha watu wakifa limeanza kuongea.
.
"WASOMI WENGI TANZANIA NI CHAKULA CHA WASIO NA ELIMU(WANASIASA) HASA JK"
duuh bora hili zee limemaliza maana nilikua nakaribia kusinzia
Haya hivyo kuna mtu kaomba mwongozo, na inaonyesha cinema ile ile, katofautiana na naibu waziri wake.duuh bora hili zee limemaliza maana nilikua nakaribia kusinzia
ndugu yangu mimi ntaanzia maandamano dodoma hadi kwenye jengo la bunge maana hii ni aibu,ukarabati tu milion 400 je kujenga ingekuaje?ni ukarabati uliotumia material za gold au diamond? am confused
ndugu yangu mimi ntaanzia maandamano dodoma hadi kwenye jengo la bunge maana hii ni aibu,ukarabati tu milion 400 je kujenga ingekuaje?ni ukarabati uliotumia material za gold au diamond? am confused
mi natamani baraza la mawaziri livunjwe maana hawaeleweki jamani tumewachoka,hata hawana cha kuongea bungeni wameishiwa poit
FIFO= first in first out