Wakuu nauliza swala moja muhimu sana tulitafakari kwa makini sana. Tuseme mathlan bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani na serikali halafu kinafuata nini? Je, kutakuwa na uchaguzi mpya (ikimpa JKnafasi kugombea tena) na kama ndivyo, tuseme JK akishinda uchaguzi huo ataendelea kuongoza nchi hadi mwaka 2017 au? naomba darasa..
fisadi wala haeleweki anaongea nini,huyu waziri wa kilimo ni mbayuwayunsana mimi simkubali kabisa ngoja tusikie hoja zake
nyumba yawaziri wa afya imekarabatiwa kwa shilingi milion 480 mi naandamana
fisadi wala haeleweki anaongea nini,
Majina ya hizo Kampuni tafadhali
Wali wakushiba unaonekana kwenye sahani,kwajinsi khali ilivyo sisiem kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!.Jamaa kashusha majina ya makampuni hewa ya ukaguaji wa magari na wamiliki wake ambao ni watanzania na wala si watu wa nje
Kataja mpaka kikao kilichokaa Kempisky hotel jamaa wanaojiita watoto wa mjini walivyoform kampuni na kujipa dili
Kwenye sauti yake na alivyokuwa muda ule, japo nilimwona kwenye TV, naweza kuapa kwamba alikuwa serious.tamthilia episide 2, toka lini panya akamkimbiza panya? Deo Filikunjombe anatuhadaa na Gamba lake
Unaanzia wapi hayo maandamano nije nikuunge mkono? Nakuja na maji ya kuosha uso wakipiga mabomu ya machozi! Huo ukarabati si ni heri wangejenga nyumba mpya tu!