Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

tena wanaendelea kupokea malipo kutoka serikalini,duuh its too much,wabunge tusaidieni,watoeni hawa watu hawatufai


wakurugenzi wengi wanashirikiana na hawa mawaziri...
 
wafanya kazi wanalipiwa mishahara dirishani?
 
Huyu Hawa Ghasia ni Kama anazunguka kichaka,hivi unaweza kusema mmewapa mafunzo watu wa hazina namna ya kumgundua mtumishi hewa,swali pamoja na hizo hatua mliochukua Kama hazina hizi pesa zilizoibwa zilipitia wapi?Watumishi hewa wanalipwa zaidi ya miaka 3 hamjagundua!!!?,acheni kutudanganya.
 
vicent nyerere kasema kwa ushahidi na kuwataja majina wamiliki wa makampuni ya ukaguzi wa magari kuwa ni ya nje kumbe ni watanzania na wapo hapa tz huku wakiwa wameyapa majina ya nje makampuni hayo, na kusema walikutana moven pick....
Na kusema makampuni hayo yalikusanya dollar mil 18, na serikali kupata dollar 2 mil tu, na kasema makampuni hayo hayafanyi ukaguzi wowote....
With guts, with confidence....

big up vicent
 
Hivi naruhusiwa kuandamana nikiwa peke yangu? Na nikifanya hivyo nahitaji kibali?
 
Hahahahahahahahahaha!!!!!!!!! . Kilaza Hawa Tumoil anaongea, naona anafuka moshi tu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI"
 
Mkuchika anasema Afrika Kusini iko kwenye Horn of Africa, kama ilivyo Djibouti na Kenya
 
ccm, jk na serikali yake wanatafuta kuwapoza wabunge wa ccm kwani inaonekana wako tayari kuasi na kuungana na cdm katika kuiondoa serikali ya ccm madarakani. huenda hoja ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ilivyoendelea kuungwa mkono na wabunge wa ccm, magamba wameona vema wawaite ili kuwanyamazisha

ngoja tusubiri huenda kuanzia kesho tutaanza kupokea wabunge wa ccm kujiunga cdm

cdm chonde chonde andaaeni mahali pa kuwafundisha kusimamia ukweli bila haya, watoe ahadi ya kuacha ufisadi, wapatie maana ya demokrasia ndipo tuanze kuwajaribu kama wametuelewa au wamebadili kanzu wkati sheikh ni yule yule
 
Hawa Ghasia anasema zimesharudishwa zaidi ya sh milioni 800/=hakutaja kiwango halisi ni kipi,hivi huu wizi ulioitawala hii Serikali hiyo zaidi ya ml mia nane zimerudishwa kweli hazina?
 
Hakuna radio ya TZ inayotangaza bunge live kwa sasa kupitia mtandao?
 
Mkuu huu ni Usanii wa mchana kweupe, umesikia kauli ya Mkuchika kuwa wamejipanga kudhibiti hivi huku kujipanga ambako pamoja na kujipanga lakini bado madhaifu yanaendelea kuwa mengi.

Mytake: Mawaziri wote walisimama wanazunguka mbuyu tu akuna ata mmoja aliyejibu hoja kwa facts rather kujaribu kuwaada wananchi! Shame on u!
 
hawa update website zao?!! hii serikali ya ajabu sana.........kwanza huyu lukuvi anasema uongo tu
 
Hivi naruhusiwa kuandamana nikiwa peke yangu? Na nikifanya hivyo nahitaji kibali?

Ruksa

Aperitivo%20Human%20Condition.jpg
 
'Wanaotakiwa kulaumiwa si viongozi bali ni wananchi waliowaweka hao vio-ngozi'
 
serikali makini zote sasa hivi zinatumia E-government tanzania hakuna
 
Back
Top Bottom