na deni la serikali limeongezeka kutoka trilion 10-14,hivi hii serikali inawaza kupitia makalio au?
Hao wabunge wa magamba hawajui kuwa bunge ni muhimu kuliko vikao vyao,waje upesi bungeni na kikao cha bunge kikiisha warudi kwenye hicho kikao,kikao chenyewe unaweza kukuta wanaambiwa wasiishambulie serikali la sivyo watavuliwa uanachama wa magamba.
yani hata hawana hoja kabisa sijui wanaongea nini,wengi wao ni wale wa ccm