Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, amechanwa live na Deo Filikunjombe, mbunge machachari wa CCM. Tukiendelea hivi, nina hakika tutatoka hapa tulipo. Nawakilisha.
unamuwakilisha nani? au unamaanisha kuwasilisha?
 
huyu waziri ni mjinga sana bado anaongopa tena?!!

data zinaonyesha walitumia zaidi ya bilion 1 kwa sherehe za nanenane yeye anakataa wakati data zipo kwenye maandishi,
 
Waziri wa afya anasema kuyaharibu haya madawa ni utaratibu Wa kawaida,na anadai yapo madawa yanayokosa mgonjwa anaegua ugonjwa husika.Hapa nipo njia panda
 
mjinga kazi yake kutembea na mabinti wadogo,kipindi kile alipokua waziri wa elimu alipitia sana wanafunzi kwa kuwapa ofa ya mkopo hata wale waliokua hawana vigezo
akapeleka na makompyuta mabovu huko Mwanga kwa wapiga kura wake.
 
Waziri wa afya anasema kuyaharibu haya madawa ni utaratibu Wa kawaida,na anadai yapo madawa yanayokosa mgonjwa anaegua ugonjwa husika.Hapa nipo njia panda

huyu anawadanganya wabunge,ngoja naona wameanza kumlipukia
 
Huyo ndiye Vincent Kiboko Nyerere, kiboko ya Mkapa.
Huyo ni mweshimiwa sana.
 
mkuchika sijui na jipya lipi ngoja tumsikie
 
Nilishasema huyu bwana ni kitu nyingine!

Na he looks very very confidence, well experienced kama wakili aliyebobea, anatoa ushahidi moja baada ya mwingine na kuwataja majina ya wajanja wa makampuni hayo wazi wazi, huyu ni KIBOKO kweli....
 
huyu wa tamisemi nae anatwanga siasa mbele na nyuma. kazi kweli kweli
 
mkuchika sijui na jipya lipi ngoja tumsikie

Anasema Tanzania inaongoza kwa kupeleka asilimia kubwa ya bajeti ya nchi kwa serikali za mitaa.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Mponda anasema hiyo mil 480 haijatumika kukarabati nyumba imetumika kuendelea kujengea nyumba ya waziri wa afya, je nyumba inajengwa kwa bilioni ngapi
 
mkuchika acha kuzunguka jibu hoja za wabunge,ufujaji wa pesa kwenye halmashauri mmechukua hatua gani?
 
Mponda amejigonga kadai Million 700 kwa sherehe za 88 ni kidogo sana
 
Back
Top Bottom