Naona Mbowe analalamika kuwa wabunge wa CCM wamekimbia wameacha wapo kwenye kikao..na anasema dawa ya nchi hii ni ku overhaul the government
Hao wabunge wa magamba hawajui kuwa bunge ni muhimu kuliko vikao vyao,waje upesi bungeni na kikao cha bunge kikiisha warudi kwenye hicho kikao,kikao chenyewe unaweza kukuta wanaambiwa wasiishambulie serikali la sivyo watavuliwa uanachama wa magamba.
serikali sio sikivu