Hivi naruhusiwa kuandamana nikiwa peke yangu? Na nikifanya hivyo nahitaji kibali?
ndugu yangu mimi ntaanzia maandamano dodoma hadi kwenye jengo la bunge maana hii ni aibu,ukarabati tu milion 400 je kujenga ingekuaje?ni ukarabati uliotumia material za gold au diamond? am confused
lUKUVI analeta stori za matrix hapa hayo ni maandishi je unalingana na ukweli? Wezi wanajua ku cook strory mbaya!
na deni la serikali limeongezeka kutoka trilion 10-14,hivi hii serikali inawaza kupitia makalio au?
"tunayo matrix inayoonesha kila hoja iliyojibiwa" lukuvi bana naona nae anaruka sarakasi na taulo bungeni
shule hazina vidawati wala vikalio
Alafu serikali inafuja pesa
Mkuu hapa hata wakifanya parabola hakuna kitu!Lukuvi na hesabu za zile za watu 2 hulima shamba hekari 2 kwa siku 4.
Mytake: Anajaribu kupiga Kinyago Konzi!