I agree with Mnyika ni dhaifu sio kidogo ni dhaifu sana.
- Ni tapeli na wa ahadi (meli maziwa makuu hata moja hakuna, maisha bora kwa kila mtanzania yamekuwa maisha duni kwa wananchi wote wa hali ya chini.
-Source ya tanzania kujigawa kiimani (Aliitumia sana kauli mbiu ya udini wakati wa kampeni sasa moto umeshika kasi amekaa kimya huu ni udhaifu mkubwa ameitia nchi kiberiti anangoja iteteketee)
-Hawezi chukuwa maamuzi kwa wakati muafaka na pia kwa mafisadi (Chenge, karamagi, yona, mramba, kiwira coal mine, EPA, Richmond, wanyama waloibwa ........nk.......nk orodha ni ndefu mnaweza kuendeleza
-Hana vision, ya jana yeye anayafanya ya leo (zidum fikra za mwekiti wa sisiem, inchi imebadilika yeye ameshindwa kukop)
-Walimu wanadai nyongeza mishahara anatishia kuwapiga, wakoloni wanaiba madini yetu kwake halali
-Watanzani wanazozana juu ya udini balaza la mitihani yeye amekaa kimya kama sio udhaifu ni nini????
-Madakitari wanagoma anachukuwa mwezi kutafuta partial solution watu washakufa sana sio udhaifu huo???
-Arusha wanatafuta haki kwa maandamano, wanauwawa anasema ni matatizo ya lema anasahau walioandamana songea, tandahimba nk huu ni udhaifu pia
KAMA NDUGAI HAJUI MKUU WAKE NI DHAIFU BASI YEYE PIA NI DHAIFU. HATUWEZI KUTOKA GIZANI KAMA TUNAMSIFIA RAIS KWA UDHAIFU NA MADHAMBI MENGINE, ATAJISAHIHISHA TU AKIAMBIWA UKWELI NA AKAELEWA LAKINI HUYU BWANA HANA SIFA HIYO.