Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
[h=4]Comments [/h]
#3 rutashubanyuma 2011-07-09 09:48 mjadala wa kuwalipa au lutowalipa wabunge posho ya vikao sasa umepata pumzi...................kama posho hizo zitaondolewa ni dhahiri ya kuwa mahudhurio yatakuwa mabaya zaidi...........badala ya kuziondoa posho hizo ni kuweka misingi ya kuhakikisha kunakuwepo uhusiano kati ya posho tajwa na mahudhurio halisi..................siyo tu kusaini fomu lakini malipo yanede kwa masaa na tekinolojia ya kompyuta itumike katika kukokotoa mahudhurio halisi ya kila mbunge kwa ajili ya malipo tajwa....................kama kwenye mpira dakika tisini tekinolojia yaturuhusu kufahamu kila mchezaji amekimbia muda gani hivi tunashindwaje kuitumia tekinolojia hiyo hiyo kuhakikisha ya kuwa kila mbunge amekaa masaa mangapi Bungeni......................kina[NENO BAYA]sekana ni utashi wa kisiasa wa kutatua tatizo la mahudhurio Bungeni na hivyo kutoa mwanya kwa wanansiasa wachovu kama Zitto Kabwe kulipotosha Bunge kwenye eneo hili...............
Quote
0 #2 bukuru 2011-07-09 08:30 MAMBO SI HAYO?JE POSHO ZAO ZIMEKATWA/ MHESHIMIWA SPIKA MBALI NA KWAMBA BUNGE NI MAHALI PA KUJITAJIRISHA NI VEMA ANGALALU HIYO POSHO YA WABUNGE 300X70,000=2,1OO,OOO ZICHANGIE ANGALAU MADAWATI KATIKA SHULE MOJA IDODOMYA AMBAKO NI MAKAO MAKUU YA BUNGE.
Quote
0 #1 ahmed00 2011-07-09 04:01 Bora hao waliokacha kikao, kuliko Wasira anayechapa usingizi Bungeni
Quote
Refresh comments list
#3 rutashubanyuma 2011-07-09 09:48 mjadala wa kuwalipa au lutowalipa wabunge posho ya vikao sasa umepata pumzi...................kama posho hizo zitaondolewa ni dhahiri ya kuwa mahudhurio yatakuwa mabaya zaidi...........badala ya kuziondoa posho hizo ni kuweka misingi ya kuhakikisha kunakuwepo uhusiano kati ya posho tajwa na mahudhurio halisi..................siyo tu kusaini fomu lakini malipo yanede kwa masaa na tekinolojia ya kompyuta itumike katika kukokotoa mahudhurio halisi ya kila mbunge kwa ajili ya malipo tajwa....................kama kwenye mpira dakika tisini tekinolojia yaturuhusu kufahamu kila mchezaji amekimbia muda gani hivi tunashindwaje kuitumia tekinolojia hiyo hiyo kuhakikisha ya kuwa kila mbunge amekaa masaa mangapi Bungeni......................kina[NENO BAYA]sekana ni utashi wa kisiasa wa kutatua tatizo la mahudhurio Bungeni na hivyo kutoa mwanya kwa wanansiasa wachovu kama Zitto Kabwe kulipotosha Bunge kwenye eneo hili...............
Quote
0 #2 bukuru 2011-07-09 08:30 MAMBO SI HAYO?JE POSHO ZAO ZIMEKATWA/ MHESHIMIWA SPIKA MBALI NA KWAMBA BUNGE NI MAHALI PA KUJITAJIRISHA NI VEMA ANGALALU HIYO POSHO YA WABUNGE 300X70,000=2,1OO,OOO ZICHANGIE ANGALAU MADAWATI KATIKA SHULE MOJA IDODOMYA AMBAKO NI MAKAO MAKUU YA BUNGE.
Quote
0 #1 ahmed00 2011-07-09 04:01 Bora hao waliokacha kikao, kuliko Wasira anayechapa usingizi Bungeni
Quote
Refresh comments list