tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Huwa aghalabu naangalia LIVE broadcast ya sessions za bunge letu 'tukufu' kama linavyorushwa na TBC 1 kwa sababu nimechoshwa na maigizo yanayofanyika hapo bungeni.
Jana 'kwa bahati mbaya' nili-tune TBC 1 na kuona kituko....nashukuru Mungu sina historia ya matatizo ya ugonjwa wa moyo otherwise ningepata mshtuko wa moyo na kupoteza fahamu!!! Naweza ku-estimate yale mahudhurio kwamba yalikuwa ni robo au chini kidogo ya hapo (20-25%). inauma sana ndugu zangu watanzania!!! ni lini tutakuwa serious na mambo ya msingi kwa taifa hili? ni eneo lipi tupo serious? naomba nitumie maneno haya yanayoonekana kama mepesi lakini naomba nieleweke kwamba 'niliumia sana'!!!
hivi column ya bunge ni ngapi kwa bunge ku-proceed? Jana ilijadiliwa na kupitishwa bajeti ya wizara ya viwanda, biashara na masoko, je kikanuni ni halali basing on that column?
je, inawezekana sherehe za kurudisha fomu ndio zimesababisha hilo? kama ni kweli,je huko sio ku-subotage kazi ya bunge? kwa nini vikao vya chama na shughuli kama hizo za chama zisifanyike nje ya muda wa bunge, mathalani weekend? yet you want me to believe you that you push us towards the dvelopment rather pulling us back?
TBC 1 ipo ndani ya dstv hivyo inaonekana nje ya tanzania, je huko si ku-publicize ujinga wetu?
Jana 'kwa bahati mbaya' nili-tune TBC 1 na kuona kituko....nashukuru Mungu sina historia ya matatizo ya ugonjwa wa moyo otherwise ningepata mshtuko wa moyo na kupoteza fahamu!!! Naweza ku-estimate yale mahudhurio kwamba yalikuwa ni robo au chini kidogo ya hapo (20-25%). inauma sana ndugu zangu watanzania!!! ni lini tutakuwa serious na mambo ya msingi kwa taifa hili? ni eneo lipi tupo serious? naomba nitumie maneno haya yanayoonekana kama mepesi lakini naomba nieleweke kwamba 'niliumia sana'!!!
hivi column ya bunge ni ngapi kwa bunge ku-proceed? Jana ilijadiliwa na kupitishwa bajeti ya wizara ya viwanda, biashara na masoko, je kikanuni ni halali basing on that column?
je, inawezekana sherehe za kurudisha fomu ndio zimesababisha hilo? kama ni kweli,je huko sio ku-subotage kazi ya bunge? kwa nini vikao vya chama na shughuli kama hizo za chama zisifanyike nje ya muda wa bunge, mathalani weekend? yet you want me to believe you that you push us towards the dvelopment rather pulling us back?
TBC 1 ipo ndani ya dstv hivyo inaonekana nje ya tanzania, je huko si ku-publicize ujinga wetu?