Bunge letu ni fake na halitoi majibu
Serikali haiko serious kutatua matatizo ya wananchi. Katiba ni mfano! Wamebaki kisiasa kila kitu. Hakuna maridhiano ya maana yenye nia ya kuendeleza nchi badala yake ni kufikiria ndugu na marafiki zao tu.
Mahakama haitoi haki ipasavyo na imejaa siasa. Kufungia mawakili na kucheza na haki za watu kisiasa. Kesi zinachukuwa miaka na miaka
Tanzania tuna matatizo kweli kweli sijui kama wananchi wanajua hili
Serikali haiko serious kutatua matatizo ya wananchi. Katiba ni mfano! Wamebaki kisiasa kila kitu. Hakuna maridhiano ya maana yenye nia ya kuendeleza nchi badala yake ni kufikiria ndugu na marafiki zao tu.
Mahakama haitoi haki ipasavyo na imejaa siasa. Kufungia mawakili na kucheza na haki za watu kisiasa. Kesi zinachukuwa miaka na miaka
Tanzania tuna matatizo kweli kweli sijui kama wananchi wanajua hili