Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,391
- 1,259
Watanzania,
SALAAM!
Hivi sasa kwa tathmini ya haraka ufuatiliaji wa mijadala ya Bunge kwa wananchi wa kawaida umepungua kwa takriban asilimia 30.
Kwamba kwa kila watu wazima 10 ni watu 7 tu wanaoweza kufahamu mambo ya kibunge na bunge. Tofauti na mwaka 2005 - 2010 ambapo kwa kila watanzania 10 wote waliweza kufahamu mambo mbalimbali ya Bunge na wabunge hususan maendeleo ya mijadala.
Sasa, ili kurudi katika zama hizo mnashauri Serikali na mamlaka za vyama vya siasa zitumie mbinu ipi ili watu wengi wafuatilie shughuli za bunge na wabunge? Je, upo ushauri kwa CCM, CDM, ACT, Umoja, CUF nk?
Msakila Kabende
(Mchumi Mbobezi / Mwanasiasa)
SALAAM!
Hivi sasa kwa tathmini ya haraka ufuatiliaji wa mijadala ya Bunge kwa wananchi wa kawaida umepungua kwa takriban asilimia 30.
Kwamba kwa kila watu wazima 10 ni watu 7 tu wanaoweza kufahamu mambo ya kibunge na bunge. Tofauti na mwaka 2005 - 2010 ambapo kwa kila watanzania 10 wote waliweza kufahamu mambo mbalimbali ya Bunge na wabunge hususan maendeleo ya mijadala.
Sasa, ili kurudi katika zama hizo mnashauri Serikali na mamlaka za vyama vya siasa zitumie mbinu ipi ili watu wengi wafuatilie shughuli za bunge na wabunge? Je, upo ushauri kwa CCM, CDM, ACT, Umoja, CUF nk?
Msakila Kabende
(Mchumi Mbobezi / Mwanasiasa)