Bunge lapitisha bajeti ya mahakama Kadhi

Pole sana, tatizo lako ni kuwa hujui nini Mahkama ya Kadhi inashughulikia. Hiyo Mahkama inashughulikia mambo muhimu ya ustawi wa jamii ya watu wenye imani ya Uislamu. Katika Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania hivi kuna watu wangapi ambao wanahitaji huduma hiyo? Jee Serikali iache kuwahudumia watu wake katika jambo hilo? Kama ni kodi hutoi wewe tu na babu zako lakini na sisi pia na Bibi zetu wa Kiislamu tunakamuliwa kodi hiyo- kwa nini tunyimwe huduma?.

Kwa nini serikali imeamua kuhudumia IBADA ya dini moja? That is the question, JK wont get away with it, simply like that! Kwenye waraka wa wakatoliki waweke majina kabisa, na sio masuala ya kipaumbele pekee, ili tuandae kura zetu. We have been fooled already by the current unstable Government!
 
Mwaka 1994 bugne lilipitisha muswada wa kuundwa serikali tatu kimyakimya bila wananchi kutaarifiwa. Aliyetoboa siri ni Spika Pius Msekwa ambaye alijistukia kapigwa swali na Kubenea wa enzi hizo na bila kujijua akajikuta anasema "Serikali tatu ni azimio kamili lililopitishwa na bunge".

Kumbe hii taarifa ya Msekwa ndiyo iliyomstua Nyerere ambaye naye alifichwa kama wananchi wengine. Ndiyo kisa cha Tingatinga kutimuliwa na mwenzake Kolimba.

Hivyo sishangai kama na bunge hili limepitisha la mahakama ya kadhi kimyakimya.
 
Sikubaliani na swalk la kundwa kwa mahakama kwa sababu sijapewa undani wake kulingana na waislaam wenyewe ktk mazingira ya Tanzania...lakini wakati huo huo nashindwa kuelewa (Wakristu) vipi swala hili ni la dini moja! ikiwa dini hiyo hiyo mnayoizungumzia imeundiwa chombo chake (Bakwata) na serikali hiyo hiyo kinyume cha matakwa yao!..
Ni kodi zenu zimekuwa zikiiendesha Bakwata toka imeundwa wakati serikali haifanyi hivyo ktk dini nyinginezo..
Kwa nini msianze na kuikataa Bakwata chombo mama kitakacho shughulikia maswala ya mahakama hii, nadhani mtakuwa mmewasaidia sana Waislaam au hamkatki basi tulilazimishe serikali iunde vyombo vya dini kwa dini zote..
 
Mahkama ya kadhi si ibada ni chombio cha kutoa huduma katika mambo muhimu ya Ustawi wa jamii kwa mujibu wa misingi na sheria za dini ya Kiislamu. Mahkama hiyo inahusika sana na mambo ya Ndoa, Talaka, Urithi, na malezi kwa watoto hasa mayatima. Hivi ni vitu vya msingi katika ustawi wa Jamii. Katika Jamii ya Kitanzania hebu sema ni wangapi waislamu na wanahitaji huduma hii? Kwa nini uwanyime?


Pakacha wewe ndo unaleta tafsiri mpya hapa kwamba si ibada! Nikipata nafasi ama kwa anaye weza naomba amuwekee nukuu ya mufti kwamba hiyo ni ibada. tafadhali mkuu hii ni kulingana na ufafanuzi wa mufti wenu!
Na kama siyo ibada, basi ina shida gani kwa Jonh kuwa hakimu katika mahakama hiyo?

 
Jamani mahakama hii itashughulikia Ndoa, Talaka, Urithi kwa ajili ya waislamu tu

Kelele na majugu yamekuwa mengi JF haipo kwa ajili ya kukashifu Dini ya mtu yeyote

Inashangaza wengine waki kashif

Tufuatilie kwanza waharibu nchi yetu (MAFISADI) na sio majungu
 
Amini usiamini, kama hivyo ndivyo Tanzania imeingia katika hatua ya pili ya Jihad. Bado kidogo Full jihad itatangazwa na wasiokubali kusilimu watakkutana na makali ya majambia. Ndivyo jihad inavyoenda siku zote.
 
Amini usiamini, kama hivyo ndivyo Tanzania imeingia katika hatua ya pili ya Jihad. Bado kidogo Full jihad itatangazwa na wasiokubali kusilimu watakkutana na makali ya majambia. Ndivyo jihad inavyoenda siku zote.

Acha majungu wewe tafuta suluhisho la mafisadi kwanza
 
Kama ni kweli (na hatuna uhakika bado) kwamba Bunge limetenga 1.8 bn/= kwa ajili ya matumizi ya dini ya Kiislamu, basi ni kosa kubwa.

Ni kinyume cha katiba kwa serikali kuanzisha mahakama ya kidini, au kuitengea fedha mahakama ya kidini.

Mkandara anasema mbona hatugombi kuiona BAKWATA imeanzishwa na serikali na inatengewa fedha na serikali! Kama ni kweli BAKWATA inatengewa fedha na serikali, au ilianzishwa na serikali, ni kosa vile vile.

I add the following for the benefit of Mkandara: Two wrongs don’t make a right. Kama serikali imevunja katiba kwa kuitengea BAKWATA fedha za kujiendesha, hilo halifanyi kuvunja tena katiba kwa kuwatengea fedha za kuanzisha mahakama ya kidini kuwe sio kosa.
 
Sio vizuri kuleta utani kwenye issue sensitive kama hii. Kweli JF Imeingiliwa
Nimeshawaonya watu mlio-serious msijibu Hoja za hawa watu, Mnataka kuumiza Vichwa unnecessary Mbona?

Watanzania
Junior Member
Join Date: Tue Jul 2009
Posts: 3
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
 
Acha majungu wewe tafuta suluhisho la mafisadi kwanza

Sio majungu, fungua macho-Nigeria (ambapo kuna machafuko ya kidini kila siku), Somalia (juzijuzi wakristo saba waliuawa kwa kukatwa vichwa simply kwa sababu ni wakristo), nk!
 
Traditional Muslims who understand the Quran and the hadith believe that sharia (Islamic law) expresses the highest and best goals for all societies. It is the will of Allah.

But is Islam just in its laws that Muhammad himself practiced and invented?

This article says no for ten verifiable reasons.

Here are four points you must read, before reading this article:

First, sometimes these ten points quote the Quran or omit it; sometimes they quote the hadith (reports of Muhammad's words and actions outside of the Quran) or omit it. This is done only to keep down the length of the article. No one should be fooled into believing that these harsh and excessive laws were invented in the fevered imagination of extremists who came long after Muhammad. These harsh and excessive laws come directly from the founder of Islam in his Quran and in his example in the hadith.

Second, each of these ten reasons has a back-up article (or more) that is long and well documented with quotations and references to the Quran, the hadith, and classical legal opinions. The supporting articles also examine the historical and literary context of each Quranic verse. If the readers, especially critics, wish to challenge one or all of these ten reasons, or if they simply doubt them, they should click on the supporting articles. They will see that Muhammad himself actually laid down these excessive punishments and policies.

Third, it must be pointed out that these harsh laws are not (or should not be) imposed outside of an Islamic court of law. Careful legal hurdles must be passed before the punishments are carried out. However, even in that case, it will become clear to anyone who thinks clearly that these punishments and policies are excessive by their very nature, and excess is never just, as Aristotle taught us in his Nicomachean Ethics.

Fourth, in each of the lengthy supporting article (or articles), a Biblical view on these infractions of moral law (or sometimes civil law or personal injuries) is presented. One of the reasons we all sense that these Islamic punishments are harsh and excessive is that Christianity has also filled the globe. Even if one is not a Christian or is only a nominal Christian, he or she has breathed deeply of Christianity by virtue of laws and customs or even driving by churches. New Testament Christianity, when properly understood and followed, offers humanity dignity.

'Islam' in this article stands for Muhammad, the earliest Muslims, and classical legal scholars.

Here are the top ten reasons why sharia or Islamic law is bad for all societies.

10. Islam commands that drinkers and gamblers should be whipped.

In 2001, Iranian officials sentenced three men to flogging not only for illicit sex (see reason no. nine), but also for drinking alcohol.

In 2005, in Nigeria a sharia court ordered that a drinker should be caned eighty strokes.

In 2005, in the Indonesian province of Aceh, fifteen men were caned in front of a mosque for gambling. This was done publicly so all could see and fear. Eleven others are scheduled to undergo the same penalty for gambling.

After going through two previous confusing stages before coming down hard on drinkers and gamblers, the Quran finally prohibits alcohol and gambling in Sura 5:90-91; they do not prescribe the punishment of flogging, but the hadith does. A poor 'criminal' was brought to Muhammad who became angry:

The Prophet felt it hard (was angry) and ordered all those who were present in the house, to beat him [the drinker dragged into Muhammad's presence]. (Bukhari, Punishments, nos. 6774-6775)

Thus, we see no offer of help for the alcoholic when he is dragged before Muhammad and his followers. Why does Muhammad not offer rehabilitation? Why does he immediately go to corporal punishment?

The later classical legal rulings follow the Quran and the hadith, so we do not need to examine them here.

It is sometimes argued that Islamic countries are pure, whereas the West is decadent. No one can argue with this latter claim, but are Islamic countries pure? The Supplemental Material, below, demonstrates that Islamic countries still have drinking and gambling in them.

Here is the article that supports this tenth point and that analyzes the confusing Quranic verses on drinking and gambling. It analyzes the hadith and later legal rulings.

9. Islam allows husbands to hit their wives even if the husbands merely fear highhandedness in their wives.

In 2004, Rania al-Baz, who had been beaten by her husband, made her ordeal public to raise awareness about violence suffered by women in the home in Saudi Arabia.

Saudi television aired a talk show that discussed this issue. Scrolling three-fourths of the way down the link, the readers can see an Islamic scholar holding up sample rods that husbands may use to hit their wives.

The Quran says:

4:34 . . . If you fear highhandedness from your wives, remind them [of the teaching of God], then ignore them when you go to bed, then hit them. If they obey you, you have no right to act against them. God is most high and great. (MAS Abdel Haleem, the Qur'an, Oxford UP, 2004)

The hadith says that Muslim women in the time of Muhammad were suffering from domestic violence in the context of confusing marriage laws:

Rifa'a divorced his wife whereupon 'AbdurRahman bin
 
Hawa watu wanaipeleka nchi hii in to a very serious problem....ni bora wangewaacha wakapiga kelele then wangetulia wenyewe but this thing ya kujalibu kumridhisha kula mtu ni very Dangerous......hata waganga no wataomba leseni za kuwinda maalbino....na wao wakipiga mkwara kidogo wataambiwa Serikali haijihusishi na mambo ya uganga therefore tutawapatia utaratibu wa kuwinda hao albino bila kuihusisha serikali.....this is upuuzi....sory for usiing this example but hawa watu wanafanya maamuzi bila kufikiria kwa kina......

Baba Nyerere kama waweza kupata ruhusa huko uliko njoo utuokoe wana wako twateketea kwa mawazo ya wachache.
 
Kwa nini serikali imeamua kuhudumia IBADA ya dini moja? That is the question, JK wont get away with it, simply like that! Kwenye waraka wa wakatoliki waweke majina kabisa, na sio masuala ya kipaumbele pekee, ili tuandae kura zetu. We have been fooled already by the current unstable Government!

Kinachotakiwa kiende pamoja na waraka huo wa wakatoliki ni wagombea watarajiwa walio safi kutangaza nia yao ya kugombea mapema ili waweze kutolewa mfano against existing mafisadi eg ndugu waumini wenzangu ni yupi atakuwa na uchungu na wananchi kati ya Karamagi na Byombalilwa? hapo sasa inafanyika vetting bila kumuonea haya mtu bila kujali mipesa yake aliye fisadi
 
Sikubaliani na swalk la kundwa kwa mahakama kwa sababu sijapewa undani wake kulingana na waislaam wenyewe ktk mazingira ya Tanzania...lakini wakati huo huo nashindwa kuelewa (Wakristu) vipi swala hili ni la dini moja! ikiwa dini hiyo hiyo mnayoizungumzia imeundiwa chombo chake (Bakwata) na serikali hiyo hiyo kinyume cha matakwa yao!..
Ni kodi zenu zimekuwa zikiiendesha Bakwata toka imeundwa wakati serikali haifanyi hivyo ktk dini nyinginezo..
Kwa nini msianze na kuikataa Bakwata chombo mama kitakacho shughulikia maswala ya mahakama hii, nadhani mtakuwa mmewasaidia sana Waislaam au hamkatki basi tulilazimishe serikali iunde vyombo vya dini kwa dini zote..

Mkandara una proof yoyote kuwa wakatoliki hawapati chochote kitu toka serikalini?
 
Mtume Muhammad alipokataliwa Mecca na akakimbilia Medina watu wa huko walimpokea kwa huruma na kumkaribisha kama mwungana. Wakristo, Mayahudi na wapagani. Kadri alivyopata nguvu kila siku kutokana na shughuli zake za biashara na ambush ya misafara ya wafanyabishara hatimaye jamaa wa Medina walilazimishwa kuchagua au kusilimu au kukutana na makali ya jambia. Wale wale waliompokea na kumhurumia. Tanzania subirini, huruma ya leo kwa jamii ya watu waliosahauliwa, wenye kuhitaji msaada wa serkali katika kuimarisha utamaduni wa dini yao siku moja utawatokea puani. Inaweza isiwe katika miaka 10 ya Kikwete, haya ni malengo ya muda mrefu. Kikwete anaweka msingi. Correct p.s if you think i am day dreaming!
 
Hivi haiwezekani kulipigia kura za maoni suala hili kama ilivyokuwa kwa lile la vyama vingi na tume ya Nyalali? Wananchi waelezwe wazi wazi kazi maalumu za mahakama hiyo na jinsi itakavyokuwa inafanya kazi kisha watu watoe kura zao za iwepo au isiwepo. Maana inawezekana ni uoga wetu tu haina madhara makubwa kiiiiivyo kama wanayoleta mafisadi nchini watu tunahofia tu!

Na kama ina madhara basi tuyajue ili watu tuweze kuamua hatma yetu. Ama sivyo haya ni malumbano tu kati ya serikali na waislamu/wakristo. Ha ni wazi Pinda anawekwa katika wakati mgumu kwani kama Mheshimiwa favors hiyo kitu basi itapita tu!
 
siamini kama inaweza kutokea,na ikitokea nakuambia patachimbika tu
hatuwezi kukubali maamuzi ya kipumbavu kiasi hicho.tutamuunga mkono aliyesema mawaziri walaaniwe nasi tutasema rais alaaniwe kwa kuiingiza nchi kwenye mfarakano wa kidini kwa malengo yake.
naamini ulikuwa unaota ndugu mwandishi nakuhakikishia haiwezi kutokea
na ikitokea tupeane taarifa tujue cha kufanya kama ni kugawana nchi au
vinginevyo tujue maana tumechoka na haitawezekana.
Vifungu viwili vya bajeti ya wizara ya sheria na mambo ya katiba vimepangiwa shilingi milioni 900 kila kimoja kwa ajili ya mahakama ya kadhi. Wakipitia kifungu kwa kifungu, bunge wa la muungano wa Tanzania lipitisha vifungu hivyo vya bajeti vilivyoandaliwa na serikali ya CCM. Je serikali ya CCM sasa imekuwa ya kidini? Kama siyo ya kidini kwa nini iwe kwa dini moja tu wakati uanzishwaji wa mahakama za kimila za wamasai, wasukuma, wakatoliki, walutheri haukupata fungu la serikali?

Je sasa CCM ndio imedhamiria kumomonyoa misingi ya umoja wa kitaifa kwa kuleta udini? Je chama hiki kinastahili ridhaa ya watanzania tena? Kwangu mimi hapana na kodi yangu imetumika bila ridhaa yangu na imevunja katiba ya nchi kwa kuleta udini.
 
Back
Top Bottom