Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,442
Hii habari ni ya mwaka jana tarehe 19.7.2009 na ilihusiana na bunge la mwaka jana, imerudishwa hapa na king of kings.
Kuna coincidence sana ya tarehe; lakini sasa je, hizo milioni 900 zilikwenda wapi kama mahakama ya Kadhi haikufunguliwa?