johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,011
- 142,043
Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo wengine wanabaki kuwa wanenguaji tu kwenye burudani
Bajeti ya Bunge iko ofisi ya Waziri mkuu kama unabisha angalia nani huwa anapanga tarehe za mikutano ya Bunge
Bajeti ya Mahakama iko Wizara ya Katiba na Sheria
Ndio Shujaa Magufuli akasema Mhimili ni mmoja tu tena umejichimbia chini sana
Jumaa Mubarak!
Bajeti ya Bunge iko ofisi ya Waziri mkuu kama unabisha angalia nani huwa anapanga tarehe za mikutano ya Bunge
Bajeti ya Mahakama iko Wizara ya Katiba na Sheria
Ndio Shujaa Magufuli akasema Mhimili ni mmoja tu tena umejichimbia chini sana
Jumaa Mubarak!