Bunge la Tanzania ni mzigo kwa nchi, ni hasara kwa nchi

ngebe

JF-Expert Member
Jun 8, 2020
1,789
5,105
Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo.

Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote

Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa na Rais, idadi ni kubwa mno lakini kazi ni zero na hasara.

Wanapitisha kitu halafu wengine hawajuibhata wamepitisha nini.

Huwezi Amini bajeti waliopitisha mpaka wao sasa hivi wanaishangaa wakati bajeti walipitisha wao kwa asilimia zote.

Siku zilizopitika kuna mbunge alishauri eti kiundwe chombo huru cha kuisimamia serikali😲

Nawaambia Watanzania hawa wabunge wa kutafuta mkandarasi wa financial and building hawatatufikisha popote hawana faida kwa nchi zaidi ya kugawana mishahara tu isiyokatwa kodi.

Kwanza wabunge 300+ ni mzigo

Kwakweli naanza kuuona umuhimu wa katiba mpya
 
Sisiemu imejitia kitanzi yenyewe kinachotakiwa kufanywa sisi wananchi tupige tu sturi ikibidi tuvute na miguu mpk kichwa king'oke!.. halafu aje mwengine hapo hatafanya ujinga maana tutamuonyesha kichwa tu so atajua nini afanye na nini asifanye.
 
Lile ni bunge la serikali na sio bunge la wananchi ukiitishwa uchaguzi leo hakuna atakaerudi bungeni pale wakizidi Sana 10.Wengi walipita bila kupingwa kwa nia ya kubadili katiba Ili mwendazake atawale milele maana hakuwa ni muumini wa kuamini kuna kifo.
 
Kama ni uzalendo ilifaa waanze wao watembelee Ist,wakatwe posho zao kodi,pili posho ya nn hali wanalipwa mishahara na bungeni ni sehemu yao ya kazi.Maana posho yao moja ya siku ni mishahara ya watz watatu kwa mwezi.
 
Ombwe ni kubwa

Sintofahamu imelizindika bunge

Wabunge wanapwaya Wanaupiga mwingi sana
 
CCM ni tatizo kwa kila kitu hapa tanzania. wengi ni vilaza, akitokea mtu makini anapigwa vita mpaka kupotezwa.

CCM ni watu wa hovyo sana
 
CCM ni tatizo kwa kila kitu hapa tanzania. wengi ni vilaza, akitokea mtu makini anapigwa vita mpaka kupotezwa.

CCM ni watu wa hovyo sana
Watanzania tumewalisha wabunge miezi mitatu, hakuna walicho fanya. Sasa lawama wana acha zina kwenda kwa Mh. Rais. Makamu wa rais nae anajiingiza kwanye upuuzi wa kuisifu bajeti.

Sasa tunaambiwa Waziri mkuu, kiongozi wa serikali bungeni, leo ndio anaona kasoro baada ya malalamiko ya Watanzania. aibuuuu.. Kama walitaka Mh. Rais aumbuke, imewarudi. Mwigulu jiuzulu.
 
Yaani kweli kabisa aisee, na mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisa hata kwa 50%,na hapo ndio wale wabunge maslahi na wale waliotayari kwa kupigania wananchi, na hapohapo ndipo tunaweza wapata vijana walio wengi mtaani walio na uwezo.

Makini ambao wako tayari na wenye uzalendo kuwatumikia wananchi na kusukuma mbele nchi yetu ktk nafasi hizo za ubunge, kwa mshahara wa kawaida tu.

Yaani hawa wabunge wa sasa ni kuweka mbele matumbo yao tu....yaani ubunge wameona ndo fursa sasa, kiasi hata maprofesa, madokta nk. wamekimbia vyuoni kuwa wabunge,baada ya kuona kuna 'fursa'...... kazi kwelikweli.
Wabunge waanze kukatwa posho na wapunguziwe mshahara
 
Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo.

Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote

Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa na Rais, idadi ni kubwa mno lakini kazi ni zero na hasara.

Wanapitisha kitu halafu wengine hawajuibhata wamepitisha nini.

Huwezi Amini bajeti waliopitisha mpaka wao sasa hivi wanaishangaa wakati bajeti walipitisha wao kwa asilimia zote.

Siku zilizopitika kuna mbunge alishauri eti kiundwe chombo huru cha kuisimamia serikali

Nawaambia Watanzania hawa wabunge wa kutafuta mkandarasi wa financial and building hawatatufikisha popote hawana faida kwa nchi zaidi ya kugawana mishahara tu isiyokatwa kodi.

Kwanza wabunge 300+ ni mzigo

Kwakweli naanza kuuona umuhimu wa katiba mpya
KATIBA MPYA
 
Yaani kweli kabisa aisee, na mishahara ya wabunge ipunguzwe kabisa hata kwa 50%,na hapo ndio wale wabunge maslahi na wale waliotahiriwa kupigania wananchi, na hapohapo ndipo tunaweza wapata vijana walio wengi mtaani walio na uwezo.

Makini ambao wako tayari na wenye uzalendo kuwatumikia wananchi na kusukuma mbele nchi yetu ktk nafasi hizo za ubunge, kwa mshahara wa kawaida tu.

Yaani hawa wabunge wa sasa ni kuweka mbele matumbo yao tu....yaani ubunge wameona ndo fursa sasa, kiasi hata maprofesa, madokta nk. wamekimbia vyuoni kuwa wabunge,baada ya kuona kuna 'fursa'...... kazi kwelikweli.
Ni KATIBA MPYA tu.
 
Lile ni bunge la serikali na sio bunge la wananchi ukiitishwa uchaguzi leo hakuna atakaerudi bungeni pale wakizidi Sana 10.Wengi walipita bila kupingwa kwa nia ya kubadili katiba Ili mwendazake atawale milele maana hakuwa ni muumini wa kuamini kuna kifo.
Mungu ni mwaminifu sana akafanya linalowezekana
 
Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo.

Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote

Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa na Rais, idadi ni kubwa mno lakini kazi ni zero na hasara.

Wanapitisha kitu halafu wengine hawajuibhata wamepitisha nini.

Huwezi Amini bajeti waliopitisha mpaka wao sasa hivi wanaishangaa wakati bajeti walipitisha wao kwa asilimia zote.

Siku zilizopitika kuna mbunge alishauri eti kiundwe chombo huru cha kuisimamia serikali😲

Nawaambia Watanzania hawa wabunge wa kutafuta mkandarasi wa financial and building hawatatufikisha popote hawana faida kwa nchi zaidi ya kugawana mishahara tu isiyokatwa kodi.

Kwanza wabunge 300+ ni mzigo

Kwakweli naanza kuuona umuhimu wa katiba mpya
Nimependa kusikia wabunge feki unanikunbusha waliokuwa wamebeba mabegi yaliyo jaa
 
Mkuu huu ni mtizamo wetu wapenda haki usijibinafsishe hahaaaa, all in all umenena vema kiongozi tunamzigo mkubwa saana wa wabunge wa awamu hii yaani hakuna kitu kabisaa aisee
 
Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo.

Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote

Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa na Rais, idadi ni kubwa mno lakini kazi ni zero na hasara.

Wanapitisha kitu halafu wengine hawajuibhata wamepitisha nini.

Huwezi Amini bajeti waliopitisha mpaka wao sasa hivi wanaishangaa wakati bajeti walipitisha wao kwa asilimia zote.

Siku zilizopitika kuna mbunge alishauri eti kiundwe chombo huru cha kuisimamia serikali😲

Nawaambia Watanzania hawa wabunge wa kutafuta mkandarasi wa financial and building hawatatufikisha popote hawana faida kwa nchi zaidi ya kugawana mishahara tu isiyokatwa kodi.

Kwanza wabunge 300+ ni mzigo

Kwakweli naanza kuuona umuhimu wa katiba mpya

Like sio bunge ni kikundi flani cha wahuni na matapeli waliotumia udhaifu wa kikatiba kufanya vikao na mikutano

Bunge la kijani

Lile ni bunge la serikali na sio bunge la wananchi ukiitishwa uchaguzi leo hakuna atakaerudi bungeni pale wakizidi Sana 10.

Kama ni uzalendo ilifaa waanze wao watembelee Ist,wakatwe posho zao kodi,pili posho ya nn hali wanalipwa mishahara na bungeni ni sehemu yao ya kazi.Maana posho yao moja ya siku ni mishahara ya watz watatu kwa mwezi.

Ombwe ni kubwa

Sintofahamu imelizindika bunge

Wabunge wanapwaya Wanaupiga mwingi sana
 
Back
Top Bottom