Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Umejiuliza tarehe 7 September, 2017 Bashite alikuwa wapi wakati Ikulu ya Dar, Rais alikuwa anapokea ripoti ya makinikia na yeye akiwa mkuu wa mkoa wa Dar alitakiwa kuwepo!!!?Huyu atakuwa alihusika na shambulio la LISU huyu.Hii Ban kwake inamaana kubwa sana.