Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Huyu atakuwa alihusika na shambulio la LISU huyu.Hii Ban kwake inamaana kubwa sana.
Umejiuliza tarehe 7 September, 2017 Bashite alikuwa wapi wakati Ikulu ya Dar, Rais alikuwa anapokea ripoti ya makinikia na yeye akiwa mkuu wa mkoa wa Dar alitakiwa kuwepo!!!?
 
Makonda bado ni kijana mdogo ana familia inakua changa nadhani yeye mwenyewe ataangalia haya yanakuaje kwasababu inavyoonekana hawa wanaoitwa mabeberu wamemkalia vibaya..
Ni vizuri tukipata nafasi za uongozi tujue kuna kesho na tuna watoto wanakua..hili ni jambo zito sana.

Kitendo cha kutajwa kwa mke wake kimenitisha kumbe ukifanya mambo usisahau inawagharimu hata ndg zako wa karibu..Kwa nchi kama US kutajwa namna ile tena na Waziri wa mambo ya nje na Jasusi kama huyo Pompi ujue kweli kuna mahala sio sawa.

Ile barua inasema credible sources ina maana wamefuatilia na wana jambo pengine..
Tusisahau kuwa hivi karibuni tu, balozi wa Marekani alifunga Safari kwenda kumwona mke wa Azory Gwanda na kumtakia Krismasi njema.
 
Makonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.

1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
Kwann unampenda sana yakobo,nimenukuu moja ya mistari kwenye wimbo wa roma. Baba akionyesha hadharan upendo kwa mtoto anakua anajiona yy yuko juu anaweza fanya lolote ukichaa unamjaa na lazima anaishia pabaya nisawa na makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
We pu.nga, uwe japo na akili kidogo angalau ya kuombea maji. Hivi unadhani hayo MAUAJI Makonda aliyatekeleza kwa amri ya nani? Shenzi wewe.
 
Baada ya Brexit ya Uingereza na nchi za ulaya sasa Marekani wameamua kum BREXIT makonda na watanzania, inauma sie kujumlishwa kwenye makosa ya huyu FFFFF, lait meko angemskiliza gwajiboy.
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Kaka Tumia ubongo hivi sisi hapa Kweli tunaweza kusema tupambane na hao unaoita Mabeberu?? Jana tu wametupa Magari ya Jeshi sasa unasema wamebanwa ha haa..sisi na wao nani anaweza kubana mwingine
 
Back
Top Bottom