chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,296
- 45,085
Moshi katika picha
Kama mlikua hamjui pia Moshi kuna mbuga ya wanyama
Amazing
Kama mlikua hamjui pia Moshi kuna mbuga ya wanyama
Amazing
Kwahiyo ukaona tatizo? Ama kipi labda unataka tujadiri?miliangalia Viwanja vilivyogawanywa hivi karibuni bukoba mjini katika Viwanja karbu 5000 hakuna mgeni aliyepata hata mmoja.
Kwa wingi huu wa wachangiaji wa post hii, tumejifunza nini?Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hiiKwa wingi huu wa wachangiaji wa post hii, tumejifunza nini?
Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hii
Tuijue zaidi Moshi vijijini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kizuri hakiitaji nguvu nyingi kukipamba ukweli mnao moyoni Kilimanjaro ni tunu ya taifa.
Thanks. Ila mimi nilitaka kuwa na jibu la aidha members wengi humu JF wanatoka katika maeneo hayo. Sina uhakika na jibu langu.Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hii
Pia new arusha hotel yenye rang nyekundu mnapo post picha mkumbuke wengne tumezunguka mikoa tote ya nchi hiiJaman ukweli unamuweka mtu huru hlo jengo hapo katikati haipo bukoba ni bugando ipo mwanza na hyo hotel I inayofuata kwa chini ipo mwanza
We kumbe hujitambui, hospital ya mkoa, gereza rwamulumba, shule za mugeza na nyinginezo na vituo vya mafuta vya rwamishenye , vipo missenyi,? KIWA kiwanda kipo missenyi?Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
Kiwanda kipi, unaizungumzia Kagera sugar? Kama ni chenyewe kipo Misenyi ndiyo.We kumbe hujitambui, hospital ya mkoa, gereza rwamulumba, shule za mugeza na nyinginezo na vituo vya mafuta vya rwamishenye , vipo missenyi,? KIWA kiwanda kipo missenyi?
Kiwanda cha chai maruku, KIWAKiwanda kipi, unaizungumzia Kagera sugar? Kama ni chenyewe kipo Misenyi ndiyo.
Sawa, hakipo MisenyiKiwanda cha chai maruku, KIWA
Unaota sana nionyeshe jengo gani liko mwanza kati hayo picha ya mji Wa bukoba kwa juu hii hapa mzee Google bukoba sio kusema uongo tatizo hamkutegemea kama bukoba iko hivyo hiyo ndo bk ya siku hizi sio ile ya majengo ya serikali tuJaman ukweli unamuweka mtu huru hlo jengo hapo katikati haipo bukoba ni bugando ipo mwanza na hyo hotel I inayofuata kwa chini ipo mwanza