Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Moshi katika picha
snow%20view%20hotel.jpg
pdwm.php

Kama mlikua hamjui pia Moshi kuna mbuga ya wanyama
pics_for_moshi.jpg
machameeeeee.jpg
tanzanie_kilimandjaro38_c_raylat.jpg

Amazing
 
miliangalia Viwanja vilivyogawanywa hivi karibuni bukoba mjini katika Viwanja karbu 5000 hakuna mgeni aliyepata hata mmoja.
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Kwa wingi huu wa wachangiaji wa post hii, tumejifunza nini?
 
Kwa wingi huu wa wachangiaji wa post hii, tumejifunza nini?
Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hii
 
Mimi ni Muhaya ila nimewakubali kweli Wachagga wamejenga kwao na panapendeza sana sababu wamekua wakijisifu kila siku kwao kuzuri ila kwa hizo pictures wanahitaji pongezi watani zetu hawa.
Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hii
 
Mkuu hii hotel binafsi nilishafika inaitwa Weru Weru ipo vizuri na Moshi ni pazuri sana tukiweka ubishi pembezoni, Moshi ni mahali patulivu sana hasa Marangu, Machame, Kilema, Kibosho manthari ni nzuri kwa vacation
Tuijue zaidi Moshi vijijini
machame%20gate.jpg
9194_kilemakyaro-mountain-lodge%20DSC01664.JPG
filename-lodge-jpg-thumbnail0.jpg
53.jpg
machame-walking-rain-forest.jpg
30622903.jpg

Kizuri hakiitaji nguvu nyingi kukipamba ukweli mnao moyoni Kilimanjaro ni tunu ya taifa.
 
Tumetalii na kukua sehemu zilivyo kuna watu walikuwa wanasikia hii miji mikubwa iliyotoa watu mashuhuri na watu machachari bongo ilivyo kimsingi hakuna mshindi miji inazidiana kitofauti lakini ni njia moja wapo ya kuhamasisha utalii tuige mifano hii
Thanks. Ila mimi nilitaka kuwa na jibu la aidha members wengi humu JF wanatoka katika maeneo hayo. Sina uhakika na jibu langu.
 
Jaman ukweli unamuweka mtu huru hlo jengo hapo katikati haipo bukoba ni bugando ipo mwanza na hyo hotel I inayofuata kwa chini ipo mwanza
 
Jaman ukweli unamuweka mtu huru hlo jengo hapo katikati haipo bukoba ni bugando ipo mwanza na hyo hotel I inayofuata kwa chini ipo mwanza
Pia new arusha hotel yenye rang nyekundu mnapo post picha mkumbuke wengne tumezunguka mikoa tote ya nchi hii
 
Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
We kumbe hujitambui, hospital ya mkoa, gereza rwamulumba, shule za mugeza na nyinginezo na vituo vya mafuta vya rwamishenye , vipo missenyi,? KIWA kiwanda kipo missenyi?
 
We kumbe hujitambui, hospital ya mkoa, gereza rwamulumba, shule za mugeza na nyinginezo na vituo vya mafuta vya rwamishenye , vipo missenyi,? KIWA kiwanda kipo missenyi?
Kiwanda kipi, unaizungumzia Kagera sugar? Kama ni chenyewe kipo Misenyi ndiyo.
 
Ila kuna watu humu wanataka kuwaaminisha watu vibaya, mtawafanya watu ambao hawajawahi kufika Bukoba wakifika wapachukie.

Maendeleo ya Bukoba, kimiundo mbinu bado kabisa huwezi kuifananisha na Moshi.
 
Ni dhambi kubwa sana kuifananisha Kilimanjaro na vitu vya kijinga. ..nem jaribuni kufananisha iyo bukoba na njombe au simiyu lakini sio Kilimanjaro mazee...mnapata dhambi mjue ohoo!
 
we uliyeanzisha league ya MHAYA na MCHAGA tunataka mwisho wa ligi ututangazie mapema nani mshindi na kwa vigezo vipi
 
Jaman ukweli unamuweka mtu huru hlo jengo hapo katikati haipo bukoba ni bugando ipo mwanza na hyo hotel I inayofuata kwa chini ipo mwanza
Unaota sana nionyeshe jengo gani liko mwanza kati hayo picha ya mji Wa bukoba kwa juu hii hapa mzee Google bukoba sio kusema uongo tatizo hamkutegemea kama bukoba iko hivyo hiyo ndo bk ya siku hizi sio ile ya majengo ya serikali tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom