Joycefull
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 770
- 391
poleeKwa statement yako hiyoni ushahid tosha kuwa ujawai fika mji mmojawapo kati ya hiyo inayozungumziwa anyway sio vita just n discusssion enjoy...
![]()
poleeKwa statement yako hiyoni ushahid tosha kuwa ujawai fika mji mmojawapo kati ya hiyo inayozungumziwa anyway sio vita just n discusssion enjoy...
![]()
Ichwe tulimuBig up kwa bro wangu Mukhtaru Hassani na Katakweba Hassan Wapo dubai qwa sasa wamefata mzigo arooo mulimu
Acha uongo, Lami inaishia Omurushaka kuelekea hospitali teule ya wilayaYeah mbona inafika mpaka kyerwa
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Haya sasa upepo umebadilika.kila MTU kwanza kutetea mji wakeNAKUOMBA USIFANANISHE SHINYANGA NA VITU VYA KIJINGA
hahahahaha we jamaa umemaliza kila kitu. kwahiyo Ruttashobolwa katokea ChadKah! mji wa Bukoba umekaa kama mahema ya wakimbizi......Una sura ya miji ya Afrika ya kati.
Bukoba itasubiri sana kuifikia Moshi.
mmeufyata na mbwembwe nyingi
. Kazi kusema hooo kijijini pamejengwa
,baada ya kuwazima mjini na vijijini tutakuja jiandae

Nyie ndo misifa ya ajabu kumbe mji wenu hovyo kabisaNyie jamaa bana.... Sifa nyingi zimewajaaa... Halafu mbaya zaidi ziko damuni... Hata mkipewa dawa hamponi...
Dadako siyo malaya!!!au wa kabila lako siyo makahaba!!! Mbona wamo wengi makabila ya katikayi mwa nchi sema mmekalili vibaya!!! Revist your informationSENENE NA HIYO KASUMBA YA UMALAYA NAJIKUTA SIITAMAN BUKOBA
Wee nawe sijui umekula maharage ya wapii ndio nini sasa unalia lia humu kuilinganisha Geneva Moshi na BukobaNyie sijui ni viroba au?? Hapa mada ni bk vs moshi sio kagera vs kilimanjaro
Hacha kutania kama unajifungia kwenye AC niwewe watu wanatafuta fursa...hata kama ni mbali....Hebu jiulizen swami moja tangia lini umeshawah kusikia mtu katoka mkoani kwenda kutafuta maisha bukoba tatizo IPO pembezoni mno na nchi
Kwenu kukoje kama so taka takawahaya mbwembwe wakiwa miji ya watu lakin kule kwao ni taka taka tu
Aisee sasa unanibishia nini mdau wakati hapo kuna picha nyingine za vijijini kabisa nyie jamaa ni wabishi kama mfupa.hapo sio moshi mjin kadanganye wajinga
hapo n kijijin
Na watasubiri sanaBUKOBA HAIJAIFIKIA MOSHI NA HAITAKAA IIFIKIE
Una magezi kweli, leta mzigo akina manka waendelee kuisoma nambaBig up kwa bro wangu Mukhtaru Hassani na Katakweba Hassan Wapo dubai qwa sasa wamefata mzigo arooo mulimu