Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,188
- 1,306
ukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
