Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
ukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
 
ukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
Ulishafika vijiji vya bk
 
Hotel nyingine hizo bukoba
7f8c57082dfec41c2bfc2a41ccfbdf8f.jpg
2b9968bacaa8a57adcfed56d1444a3eb.jpg
kyanyi resort
1c143cf25b3f0e63eb042c8749ba7ae2.jpg
fa0e729a6f61c8cba445cc8b271c8dbe.jpg
kiroyera
36074835636c762ec4d11acc33c01322.jpg
coffee hotel
6152ae0d78c16642e454da232401059e.jpg
Stella hotel
c54ee6552403a3c870b5413863969420.jpg
1135b9b34f95cd96afc1266e3f021341.jpg
1215497c1d1d9226aa59bda16c117fe4.jpg
transit hotel
12e4d3e9440156d2512aa4c1c5186698.jpg
yassira
6846d26adf9da0927d697f92b4e4ac54.jpg
dfcc305d6e5f25cc0e83a626e421c223.jpg
 
Bk tena
2ed0821219076075dd61552d0dd8626e.jpg
6b8caf8ef3df7554c5989e31b0070911.jpg
c412708f4dc5ec98ecd6fe95f5cafe2e.jpg
261d438bea3a8e3d379e99ba4e4c0c75.jpg
276c5d0c379861a3563818f381d72617.jpg
e708aa693717d9a234fbbc0e46ef2a9a.jpg
0ed7d6ae0a96638bf148e3832f20fffe.jpg
uwanja Wa kaitaba una historia ndefu ukifatiwa na kifo cha mchezaji Ismail na waanga Wa tetemeko
cd8ce622d4321ecd5bc6b6707f49aad7.jpg
 
hizo barabara za bukoba ni rangi yake au ni camera ya kifaa chako imeshinda kuchukua vizuri, sasa kama barabara mjin ziko hivyo ninashaka vijijin hakuna kabisa barabara
 
Naomba picha ya magari ya kuelekea huko vijijin then tukupe picha za noah za kuelekea Rombo, marangu machame na sanya tena plate no znaanzia D
 
Wanajidai au ni kweli tena wanasomea kwenye vyuo vyenu na kuwabwaga.unafikiri vinawasaidia basi.shida mna opportunity nyingi na hamzitumii vyuo vyote hivyo vingekuwa bk sijui pangefananaje.shida ubaguzi Wa wahaya na wivu ndio maana inakuwa hivyo
wachaga wamepiga kitabu wanatumia fursa
pia wachaga wana umoja ndii maana wameendelea
nyie mnapigana majungu
 
ukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
Mwaka kesho ndio mwisho wa kumalozia nyumba zote ambazo siyo imara moshi upepo uliyopita bukuba nisawa na unao pita moshi sema nyumba za moshi ni imarazaidi
 
hizo barabara za bukoba ni rangi yake au ni camera ya kifaa chako imeshinda kuchukua vizuri, sasa kama barabara mjin ziko hivyo ninashaka vijijin hakuna kabisa barabara
Ni za rami ila udongo uko hivyo
 
Mwaka kesho ndio mwisho wa kumalozia nyumba zote ambazo siyo imara moshi upepo uliyopita bukuba nisawa na unao pita moshi sema nyumba za moshi ni imarazaidi
Imaraaa kwa macho subiri tetemeko lije liwaumbue
 
Hotel nyingine hizo bukoba
7f8c57082dfec41c2bfc2a41ccfbdf8f.jpg
2b9968bacaa8a57adcfed56d1444a3eb.jpg
kyanyi resort
1c143cf25b3f0e63eb042c8749ba7ae2.jpg
fa0e729a6f61c8cba445cc8b271c8dbe.jpg
kiroyera
36074835636c762ec4d11acc33c01322.jpg
coffee hotel
6152ae0d78c16642e454da232401059e.jpg
Stella hotel
c54ee6552403a3c870b5413863969420.jpg
1135b9b34f95cd96afc1266e3f021341.jpg
1215497c1d1d9226aa59bda16c117fe4.jpg
transit hotel
12e4d3e9440156d2512aa4c1c5186698.jpg
yassira
6846d26adf9da0927d697f92b4e4ac54.jpg
dfcc305d6e5f25cc0e83a626e421c223.jpg
Mkuu mmi natoka bkb naninatembelea Mara kwa Mara bkb na moshi.Tuweke ushabiki pembeni,aisee moshi wapo mbali mno tena kwenye mahotel usiguse kabisa
 
ww kwwli haunazo yaani hivyo vigorofa vyenye UFA ndio tupate homa?
bukob itachukua miaka 100 kufanana na moshi
Tetemeko limetokea nyumba hazijaporoka zote bado mji upo ni sehemu tu chachechache
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom