Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Angalau nimekuelewa sana wewe Mkuu.
 
Tukiondoa kukariri facts na kufikiri kwa uhalisia, jionee mwenyewe!
 
Ikiwa hawauzi walizonunua huko kwingine ndo wauze za Moshi? Utasubiri sana. Hata uwatukane hadi mwisho ila mijamaa haitabadilika asee
Haulazimishwi kubadilika kaa na ujuha wako kwani kila mmoja ana aina yake ya upimbi, mtashangaa vijiji na vitongoji vinakuwa majiji nyie mmekaa na ubaguzi wenu
Isitoshe mkiacha kubagua wakuja mtaanza kubaguana wenyewe hadi dhambi hii itakapo maliza koo lako kwa ubaguzi
 
Cheki bk tena
 
He bk hakuna shule kama kaizirege inayoongoza kila mwaka four na seven,kwanza shule hazipo moshi zipo wilayani. Hospital zipo nyingi kagondo,government, mugana.etc pia elimu bado IPO juu
 
Mimi kwa hizi picha sijafika lakini Bukoba panaonekana pazuri.Na obviouslly maeneo yaliyo ukanda wa bonde la ufa ni mazuri even Moshi mazingira yaliyopo ni impact ya bonde la ufa hata wanamezea mate.NAIPENDA TANZANIA.Acheni hoja zinazolenga ukanda na ukabila,Nazichukia sana maana zinalenga kuturudisha nyuma (one step backward!!!)
 
Thread ni ya bk vs moshi ukiangalia mkoa kagera ni Mara mbili ya Kilimanjaro.na watu ni wengi.una biharamulo,ngara,karagwe.kyelwa misenyi muleba na sehemu izo si bk na wahaya sio Wa huko
Kwani hoja ya wahaya imetoka wapi tena?
 
Tatizo sio wakazi Bali serikali ya eneo
Fafanua zaidi, naona unatoka nje ya mada kabisa.. lengo lako la kwanza ilikuwa ni kusema Bukoba ina maendeleo kuliko Moshi, ndo mana inakuwa na majengo mazuri.. ila kwa sababu ki takwimu unaanza kwenda kinyume na ulichosema mwanzo. Mi nakuambia tu, huwezi kufananisha Bukoba na Moshi kamwe.... Mi nikikuwekea picha za moshi vijijini na wewe ulete za bukoba vijijini utajiona mjinga
 
Kwa hiyo umekubali mjini subiri vijijini lakini vijiji vingi havipo bukoba vipo misenyi karagwe muleba na kyerwa vijiji vingine vinauzunguka mji Wa bk na hakuna picha za juu ila vijiji vinafanan vya moshi

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Moshi iko juu kwa lipi??? Ushahidi plz!!!!!
 
Si ulete za moshi mjini kama mie

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Tuachane na kodi tuje ktk walimbwende WENYE wa kaskazini na MAENDELEO kwa uchache:

Shose sinare
Nancy Sumari
Theresa Shayo
Shose Sinare
Hoyce Temu -dada wa shoka
wahaya hawajielewi..

wanajipa moyo na kujifariji tu

kujifanya wasomi kwao buree kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…