Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Du kweli elimu sio maendeleo yaani hawa jamaa watani zangu Inshomile wanavyojidai huku Bongo basi mm nikadhami kamji kao katakuwa Amazing? Anyway mtoa mada naomba ubadishe heading iwe Bukoba vs Musoma lkn kuwalinganisha na Moshi ni kuwapandisha chart watoto wamjini wanasema kuwapa kiki!
 
Mi nashangaa sana sasa hvyo vipicha picha vya kuta za nyumba ndo kuthibitisha kupo vizuri au? Kila mtu kajionea hakuna haja yakutuma picha we fanya kautafiti kadogo mchukue mjanja wa Moshi uje mlingamishe na mjanja wa bukoba utapata majibu kuanzia mavazi na kila kitu baaaasi
 
Picha mnazirudia rudia. Kisa moshi ndongo cheki bk
senene https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/9dfba230813d9acc482e5f[ATTACH=full]451371[/ATTACH]

[QUOTE="salaniatz, post: 19060666, member: 245901"][IMG]https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2a790c5464b8251cd26e627df38570e1.jpg [/QUOTE]
 

Attachments

  • uwanja-wa-kaitaba-Google-Search-3.jpg
    90.6 KB · Views: 21
Hii ni bukoba kaitaba stadium mjini kati bukoba rc cathedral miembeni bukoba kuelekea ziwani kwa mbali msira island view from kashura
Mi naona bukoba
Umelinganisha nn sasa hapo. Umepanga picha za mji mmoja tu halafu unaconclude!!! Ndio facts hizo ulizotakiwa kutoa? Ovyo kabisa....
 
Shida watu wanaidharau bk
Istanbul kuna sehemu Dar inaitwa kwa Wahaya mwananyamala unakuta vibatari na ukifika tu mwanaume unachoma ndani kuhudumiwa ila sijaona kwa wachaga hivi!! Kwa wachagga Kimara na Mbezi ni full ufugaji wa kuku na biashara za kawaida
 
Kuna picha zingine za Bukoba zaidi ya hizo!
Jamaa wa Moshi hawana haja ya kuleta picha,kwa maana Moshi ni zaidi ya Bukoba kwa mbali.
 
Thread ni ya bk vs moshi ukiangalia mkoa kagera ni Mara mbili ya Kilimanjaro.na watu ni wengi.una biharamulo,ngara,karagwe.kyelwa misenyi muleba na sehemu izo si bk na wahaya sio Wa huko
 
Bado hawakubali bkb iache tu
 
Haahha ila mkuu umenichekesha sana, Kibeta kuna nini? Na Nkindo si ipo BK vijijini...hata ingekuwa mjini kuna nini pale?
Nkindo kuna sauti,kashura kuna kolping,walkguarg,stalla,perfect nk
 
Nilichokiana hapa ni mleta mada kuwahadaa watu kupicha hasaa kwa jengo mojamoja lkn sio view nzima kwa ujumla.. To be honest nimetembea miji yote miwili tuache kudanganya fikra zetu zetu bukoba bado sana kwa moshi...japo hme green city
jengo mojamoja ndo hutengeneza mji
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…