instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
- Thread starter
- #1,821
Uwe unaudhibitisho na unavyovisema eti vya juzi unajua tanica ni ya mwaka gani? Kwa taarifa yako bukoba kuna viwanda vitano vya kahawaHivi vya juz tu moshi tangu miaka ya 1970's vilikuwepo vya kubangua kahawa na jengo la kncu Kilimanjaro ndio jengo la kwanza tz kuwa na lift
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
