luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Wana ubavu huo?Huwezi kuongelea marangu bila hotel, tuoneshe na nyie huko vijijini tupimane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana ubavu huo?Huwezi kuongelea marangu bila hotel, tuoneshe na nyie huko vijijini tupimane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakufa kabisa naomba picha za vijijin zimiminikeLazima wazimie leo hapo ni kijijini kuko kama ulaya tukileta shanty town si watakufa hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa la mawella hilo, utadhani ni kule Vatican city.View attachment 1013330
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu Achana na ukristu wa huko bukoba kuna mpaka mtakatifu alietangazwa mtakatifu yohana Maria mzeyi mzaliwa wa kijiji cha kishomberwa minziro wilayani misenyi.ni mtanzania pekee mtakatifu alietangazwa na alikuwa Kati ya mashaidi wa uganda.halafu ukatoliki wa bukoba ndo ulinganishe na moshiUkristu ulianzia Moshi kabla ya bukoba acha ubishi usio na faida ndio maana hadi Leo maaskofu katoliki tz Kati ya y majimbo 34, maaskofu 11 ni.kutoka Jimbo la Moshi
Mapadre walio nje ya nchi nadhani Jimbo la Moshi wanaongoza maana ktk Jimbo la Moshi wastan kila parokia Ina mapadre 2/3 waishio nje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe kweli haunazo Hilo ni mawela uru,yapo mengi maelfu kwa maelfu huko vijijin tutayaweka yote hapo ili muumbukeHivi kumbe na kelele zote mna kanisa moja hili??? Hahaha nyie kumbe majanga tupu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana muingereza huyo mkuu
Kumbe na makelele yote mtu mzima hujui kusoma? Huoni nimetaja specifically ni kanisa la mawella meaning mengine yapo. Don't be pathetic, be of your age comrade!Hivi kumbe na kelele zote mna kanisa moja hili??? Hahaha nyie kumbe majanga tupu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunapeana changamoto maana tumeona tunaweza kwenda sawa nyie tumewaacha mpaka mpate elimu kama Moshi na bukoba mkuu pole Sana. Mkipata elimu tutawakaribisha kwenye changamoto za maendeleoKarne hii bado mnajadili ubinafsi fikra zenu fupi sana....
Reli kupaki stand unamaanisha nini?Watoto wa mliozaliwa miaka ya 2000,mna tabu sana.Kitu kama hujui uliza upate faida.Usijifanye "much know".Hahaha eti stand ya mabasi ya shirika la reli kwahiyo reli huwa zinapaki stand? Hahaha sina mbavu
haya hebu niwekee picha za stand za hiyo mikoa mingine za enzi hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hii reply yako unaweza kuomba nayo mkopo bank na ukapewaSisi tunapeana changamoto maana tumeona tunaweza kwenda sawa nyie tumewaacha mpaka mpate elimu kama Moshi na bukoba mkuu pole Sana. Mkipata elimu tutawakaribisha kwenye changamoto za maendeleo
Haya sitaki maneno mengi niwekee picha za stand za mabasi za hiyo trc kwa mikoa mingine kwa kipindi hicho ili tuthibitisheReli kupaki stand unamaanisha nini?Watoto wa mliozaliwa miaka ya 2000,mna tabu sana.Kitu kama hujui uliza upate faida.Usijifanye "much know".
Miaka ya nyuma shirika la reli lilikuwa na mabasi yakitoa huduma za usafiri kuunganisha na mikoa isiyounganishwa na reli ya kati.Mfano Dar - Iringa,Itigi(Singida) - Mbeya n.k.
Usafiri huu wa mabasi ulikuja kufa mwaka 1990.
Wameingia kwenye 18 zetu mkuu waache tuwanyooshe hadi wakomeKumbe hii ni vita ya wachaga na wahaya, ngoja sisi wengine tukae pembeni. Lakini nasikia aliyesema Mosi hawajaendelea ni Polepole sasa hapa Wahaya wameingiaje?
Halafu ni madaladala hahahahahahaIla bk washamba check mibaiskel ya phonex mjini katikati hahahaView attachment 1012709
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha stand 1971
Pana tatizo gan? Si ni ka gulio ka jion? Na hapo ni nje kabisa ya Moshi mjin