Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Nimegundua unaijua Moshi tu! Jitahidi uijue na Bukoba! Kuijua Bukoba sio kufika mjini na kupita. Hizi pumba unazoandika hapa ni aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila bk washamba check mibaiskel ya phonex mjini katikati hahahaView attachment 1012709

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi zipo hadi Kampala dogo! Unashangaa kuziona Bk?? Unajipambanua jinsi unavyopajua Moshi tu. Inaonekana hata Mwanza hupajui vizuri, maana usingeshangaa kuziona. Kwanza hata Dar zimejaa wakurya wanauzia mayai asubuhi mpaka usiku. Labda Tanga ndo wana vile vibaiskeli vya sports wenyewe wanaviita Sehewa.

Kampala hizi zipo hadi city centre na bodaboda wa baiskeli wanapaki kama hivyo. Wachaga mmezidi na nyie kujificha migombani. Mkitoka sana ni Moshi mjini tu. Ona sasa mnawaaibisha wenzenu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ni la Zaman tofauti na lenu mlilojenga juz Kati tuu
Hapo nakubaliana na wew. Ila kwa makanisa ya vijijin hunifikii hata robo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena usije ukajichanganya ukaleta makanisa ya vijijini mdogo wangu.. Bk isikie hivi hivi. Kama hayo makanisa ya vijijini galijengwa zamani sawasawa na hiyo cathedral na cathedral yenyewe inafanana hivyo unafikiri yenyewe yakoje?? Ila nisikukatishe tamaa yalete tu tulete ya bk utalia kaa ngoma


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vaa miwani utazame haya makanisa ya baadhi ya vijijin huko uchagani
Niendelee?View attachment 1012722View attachment 1012723

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nianze tu kwa kukwambia kuwa hilo kanisa japo la mtandaoni bado sana kwa makanisa ha bk huko vijijini. Twambie la location ya kanisa na pia na picha ya kibao cha kanisa lenyewe. Mbona ya mwanzo umeweka!??

Ila pia nikwambie tunataka picha za kupiga na kamera yako! Mwambie mtu apige akutumie. Sio hizi za kuunga unga. Huu mchezo tukiufanya sisi mtalia. Kwa nini usilete picha original from the source kama unajiamini?? Mbona sisi tunatupia vitu vyenyewe na wewe unasuuzika!??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizuri kwenye suala la picha mna visingizio


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mm hapo cjaleta makanisa bab kubwa ya marangu,rombo,kilema no hapo ni mfano tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bosi si ulete tu utupigie picha vizuri na vibao vyenye majina ya hayo kamanisa?? Hizo picha za kuunga mitandaoni sio ushahidi mzuri. Hii inadhihirisha hakuna kitu mnahaha kutafuta pa kufia.

Weka picha original from the source na kibao cha jina na location ya kanisa, watu tufunge midomo. Kwani shida iko wapi!? Mfano mdogo ni huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20190110_134938_6.jpeg
    61.1 KB · Views: 20
We sio mchaga?? Kinusi ipo mkoa gani?? Kwa nini usitulinganishie na makanisa ya kwenu?? Udalali utawaua nyie wagogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi aliwai ona idadi ya wakatoliki wengi kama aliyoiona kwenye hija pale Mugana!? Huyu mgogo tu deal nae atuletee picha za Dodoma. Maana huu uzi haujazuia kuleta za kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka sasa tulinganishe na kwenu. Acha kushadadia kwa wanaume wenzio mkuu. Kuna kuolewa ujue. Nakukumbusha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishamwambia na alikimbia kabisa na kutoroka kusikojulikana .hasijaribu kulinganisha moshi na bukoba upande wa dini maana bukoba sio ya mchezo .tukileta parokia za bk atalia.halafu mkuu leta picha za vijijini huko bugabo tuwafunge mdomo hawa watani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu anasema kanisa la Kashozi halikujengwa 1892!! Sasa aone hii ya Rubya mwaka 1880 azimie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni stand ya mabasi ya shirika la reli (TRC).Karibu mikoa yote zilikuwepo.
Alafu kweli! Nimeelewa. Hii sio stendi ya mabasi. Hapa ni railway. Mikoa yote yenye reli hizi stend zipo! Maana nakumbuka ya Kigoma hadi leo ipo, n.k. Mkuu umewaumbua vuzuri sana. Wewe umemaliza uzi sasa. Nawasubiri waropoke niwape za chembe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha eti stand ya mabasi ya shirika la reli kwahiyo reli huwa zinapaki stand? Hahaha sina mbavu
haya hebu niwekee picha za stand za hiyo mikoa mingine za enzi hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwenye hiyo picha unaona sehem ya kusimama magari?? Shame. Pambaf kabisa. Kumbe liuzi lote ni upupu mtupu. Nilishawahi kutahadhalisha tabia ya wachaga kupenda sifa za uongo! Kwani ukisema ulichonacho wewe unakufa??

Msione wahaya wana sifa, wana sifa kwa kile kidogo walicho nacho! Sio nyie mnaiga sifa kwa wahaya na mnajisifia vitu vya kutunga.

Hii ni railway station na siobus stand. Mbuzi wa kichaga nyie. Mwafwaaaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…