cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,422
Yaan ingekua ni Bongo, bas mtoto angejiua yeye.Siku ambayo alipana mauaji yafanyike ndiyo siku alipowambia kuwa kamaliza paper la mwisho, kwa furaha wakaandaa mtoko wa dinner na kumpa zawadi ya saa ya Rolex yenye thamani ya $2000. Baba hakufa ila mama na mdogo wake walikufa, hata baada ya mchezo kugunduliwa na polisi na jamaa kukiri na sasa kafungwa kifungo cha maisha, bado baba yake anasema mtoto wake ni good man na ashamsamehe yani hakuwahi msema vibaya