Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
- Thread starter
- #21
huo ni msala full chali yangu
Dah yaani inasikitisha sana huyu shem alivyo kuwa ananisisitizia mm nioe dah nachoka kabisa.
Basi tena house boy kesha mzidi ujanja... Solution mshauri bro amwozeshe my waifu kwa house boy...Hee hee hee.
Kumwozesha itakuwa ngumu walisha funga na harusi kanisani.
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!
Ndo hapo sasa lakini yeye mwenyewe shem kamthibitishia hiyo mimba ni ya house boy
Bro anashindwa afanyaje dah majonzi tu