Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
mbona ize to understand???sikuja kutafuta marafiki...as watu wa kufatiliana kiundani,niko hapa kupost jambo...sihitaji kumjua mtu yeyote yule,na sipendi pia mtu anijue.....
--obviously we dont get along na huyo kaka,kivipi nitakuwa simtendei haki nikimwambia...asiniquote???wema wa mshumaa sinao mie...ni bora nifanye hivyo kuliko nimwache aandike jambo litalonikwaza...
lastly,dont make a big deal out of this,mwenyewe nadhani kanielewa naamaanisha nini...!
Nahisi kama nakujua kwa walau 85% Roselyne....