BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Mpe pole broda wko kwa hayo yaliomkuta ila asifanya papara mie nahisi kama waligombana na wife wake so ili mama alipize kisasi cha harira zake ama ugomvi wao ndipo akamwambia kuwa hiyo mimba sio yake, cha msingi asubiri mtoto azaliwe then akafanye DNA ndipo atajua kweli ama sio kweli alilea mimba ya mtu mwingine?
Jaribuni kuwa karibu zaidi na huyo broda wenu ili asijefanya maamuzi ambayo hayapendezi pia huyo shemeji yenu jaribuni kumtoa hapo kwake mpelekeni hata kwa mama yenu halafu akisha jifungua mfanye hiyo DNA maana kadri anavyozidi kukaa karibu na mumewe hamjui kaka yenu anafikiria nini, mwisho kabisa huyo houseboy mumtimulie mbali nae asiwe karibu na kaka yenu wala shemeji yenu,maana mimba imeshakuwakubwa karibu anajifungua namaanisha kaka yako amelea hiyo mimba miezi yote hiyo tisa bila kujua huwa amelea mimba ambayo sio yake lazima kuna kitu kilifanyika hadi mke akasema hivyo jaribuni kuchunguza kwa undani zaidi mtajua ukweli tu nini chanzo hadi huyo shemeji yenu aseme mimba niya house boy sikuzote kwanini asiseme aje kusema wakati anakaribia kujifungua nahisi kuna kaugomvi kametokea ndani yao tu...!
Jaribuni kuwa karibu zaidi na huyo broda wenu ili asijefanya maamuzi ambayo hayapendezi pia huyo shemeji yenu jaribuni kumtoa hapo kwake mpelekeni hata kwa mama yenu halafu akisha jifungua mfanye hiyo DNA maana kadri anavyozidi kukaa karibu na mumewe hamjui kaka yenu anafikiria nini, mwisho kabisa huyo houseboy mumtimulie mbali nae asiwe karibu na kaka yenu wala shemeji yenu,maana mimba imeshakuwakubwa karibu anajifungua namaanisha kaka yako amelea hiyo mimba miezi yote hiyo tisa bila kujua huwa amelea mimba ambayo sio yake lazima kuna kitu kilifanyika hadi mke akasema hivyo jaribuni kuchunguza kwa undani zaidi mtajua ukweli tu nini chanzo hadi huyo shemeji yenu aseme mimba niya house boy sikuzote kwanini asiseme aje kusema wakati anakaribia kujifungua nahisi kuna kaugomvi kametokea ndani yao tu...!