Waziri wa zamani katkia SMZ Brg Gen Mstaafu amefariki dunia mchana wa leo ktk hosp ya jesh Lugalo!!
Nilikuwa hapo punde pata habari hizi, sijui alikuwa anasumbuliwa nanini mwanasiasa huyu mkongwe!
Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
majenerali wa ukweli wanaishia hivyo......tunabaki na mashimboshimbo
rip mjomba
\Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Nawashukuruni wote kwa salamu za rambirambi, aidha kupitia hapa tutaendelea kuwa pamoja kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu wa baba yangu mzazi.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.