Brg Gen Mwakanjuki afariki dunia

watu wazuri wanafariki wanabaki wabaya na wezi wa taifa. Natamani angekuwa waziri moyo wangu ungefurahi!. Ee Mungu kama hakuwa fisadi mpokee apumzike kwa amani.

Duuh..!!:A S 13:...
Mwanadamu si malaika jamani.
Nilipopita Singida Mjini, nilisikia malalamiko kidogo kuhusu jengo la ofisi kuu ya CCM na uwanja wa mpira wa miguu, kushindwa kumalizika kujengwa.
Jina la "Mwakanjuki" lilitajwa kama mara mbili tatu hivi. Alishawahi kuwa mkuu wa mkoa pale..:A S-coffee:

RIP BRIGEDIA.
 
namkumbuka sana huyu adam mwakanjuki, wakati akiwa waziri wa serikali ya mapinduzi huko visiwani, alitembelea kwetu kirafiki, wazazi walipokuwa nje kikazi, tulimwandalia chakula cha mchana tukifikiria ni mwenzetu kiimani kwa vile jina la adam mwakanjuki si la ustaadhi maalim. Alipokaribishwa alikula aina ya vyakula vyote vilivyowekwa mbele yake ila hakugusa nyama. Naona alifikiri ni kiti moto kwa vile siku iliyotangulia tulimtembeza kwa majirani wanaofuga kiti moto na kwetu kwenye zizi la ndama wa maziwa.

Kwa vyo vyote tunamkumbuka alikuwa mstaarabu na asiye na ubaguzi na kujenga uvumilivu wa hali ya juu kwa ajili ya umoja wa kitaifa.
Rip adam mkwakanjuki.

uongo mwingine muwe mnavuta hata subira walau kidogo kabla hamjauongopa.
Muda huu saa 4 asubuhi,
source tbc , wanatangaza maiti yake itafanyiwa ibada kanisa la mkunazini.
Hujaumbuka ?
Na sredi yako hii?
 
Upumzike kwa amani Brigedia Jenerali Mwakanjuki...

Pole kwa Aliko na familia nzima ya mzee Mwakanjuki....

Tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu kwenu...


Bala.
 
RIP Gen....just wanted to know one thing. Hivi huyu jamaa ni mnyakyusa au hata Unguja na pemba kuna majina kama hayo ya watu wa kusini?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom