Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you serious???Haya mazishi yatakuwa na manufaa kwa CCM kujijenga na kujisogeza kwa wananchi
RIP BRIG. Mwakanjuki.
Kikwete lazima akwee ndege kuwahi mazishi. Dili lingine la Rais
Kwa mara ya kwanza naona comment yako bila jina la Zitto!!!Haya mazishi yatakuwa na manufaa kwa CCM kujijenga na kujisogeza kwa wananchi
Majenerali wa Ukweli wanaishia hivyo......tunabaki na MASHIMBOSHIMBO
RIP Mjomba
Waziri wa zamani katkia SMZ Brg Gen Mstaafu amefariki dunia mchana wa leo ktk hosp ya jesh Lugalo!!
Nilikuwa hapo punde pata habari hizi, sijui alikuwa anasumbuliwa nanini mwanasiasa huyu mkongwe!
Alikuwa makini sana Nyerere alimtegemea kwa vitu vingi sana ili kuiendesha na kupata habari za znz.Mungu akuweke mahali pema.
Hoo!! Malafyale Mwakanjuki Jamani. Nakumbuka nilipokuja Tanzania mwezi Febr 2012 nilipata bahati ya kumtembelea kule kwake Mbezi beach.
Ni mtu makini sana na alikuwa mpenda watu na mwakilishi wa malafyale wote kule Znz.
Pole familia yake yote pamoja na akina "Save water Drink beer" na member wengine hapa barzani.
Mola ailaze pahala panapo stahikh. Adam Mwakanjuki.