Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa zamani katkia SMZ Brg Gen Mstaafu amefariki dunia mchana wa leo ktk hosp ya jesh Lugalo!!
Nilikuwa hapo punde pata habari hizi, sijui alikuwa anasumbuliwa nanini mwanasiasa huyu mkongwe!
Namkumbuka sana huyu Adam Mwakanjuki, wakati akiwa waziri wa Serikali ya Mapinduzi huko visiwani, alitembelea kwetu kirafiki, wazazi walipokuwa nje kikazi, tulimwandalia chakula cha mchana tukifikiria ni mwenzetu kiimani kwa vile jina la Adam Mwakanjuki si la ustaadhi Maalim. Alipokaribishwa alikula aina ya vyakula vyote vilivyowekwa mbele yake ila hakugusa nyama. Naona alifikiri ni kiti moto kwa vile siku iliyotangulia tulimtembeza kwa majirani wanaofuga kiti moto na kwetu kwenye zizi la ndama wa Maziwa.
Kwa vyo vyote tunamkumbuka alikuwa mstaarabu na asiye na ubaguzi na kujenga uvumilivu wa hali ya juu kwa ajili ya umoja wa kitaifa.
RIP Adam Mkwakanjuki.
mwanachama wa ccm yeyote yule lazima aanze kuwa mnafiki kwanza.La sivyo huyo ataundiwa zengwe.Mimi simwamwini mwanachama wa ccm yeyote hadi cdm iingie madarakini.RIP Brg Gen Adam Mwakanjuki, hata mie nimewahi kuonana na mtu huyu alikuwa mtu wa watu haswaa!!
Hakuwahi kuwa mnafiki!
Poleni wafiwa....poleni wazenji, poleni wa TZ!
Alikuwa makini sana Nyerere alimtegemea kwa vitu vingi sana ili kuiendesha na kupata habari za znz.Mungu akuweke mahali pema.
R.I.P, Br. Gen. Mwakanjuki
Haya mazishi yatakuwa na manufaa kwa CCM kujijenga na kujisogeza kwa wananchi
..R.I.P Adam Mwakanjuki.
NB:
..marehemu ana mwanae ambaye ni mwanachama wa muda mrefu wa JF.
..nampa pole sana kwa kuondokewa na Baba yake mzazi.
mwanachama wa ccm yeyote yule lazima aanze kuwa mnafiki kwanza.La sivyo huyo ataundiwa zengwe.Mimi simwamwini mwanachama wa ccm yeyote hadi cdm iingie madarakini.