Kama ningekuwa sina kazi, sina pesa, ningefanya hivi nipate pesa

GLOBAL CITIZEN

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
767
1,655
Wakuu,

Kwa dhati kabisa niseme pesa zipo nyingi sana kama utafahamu tu namna yakuzipata.

Ngoja nikwambie kitu.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza na kujaribu mbinu tofauti zakuanzisha biashara hasahasa Online kwakutumia mtaji mdogo kabisa au kutotumia pesa kabisa na mwisho wa siku kufanikiwa katika biashara ninayofanya. Niseme wazi kuweza kuanzisha business ya namna hii inahitaji kuwa strategic kwamaana ya kwamba ukianza hizi business basi unafahamu goal yako ni nini. Hii inakuwa rahisi kufikia goals zako kwa haraka.

Kwa maana hiyo basi nataka nikupatie step by step process jinsi unavyoweza kuanzisha side hustle sehemu yoyote ulipo na kuanza kutengeneza pesa hata kama huna kumi mfukoni ilimradi tu uwe na access ya internet.

Kabla sijaanza nataka nikuonyeshe maana ya pesa ili iwe rahisi kukubaliana hapa vinginevyo unaweza usinielewe. Nataka niweke hili sawa kwasababu watu wengi wamekuwa na mawazo siyo kabisa kuhusu pesa . Hii hali inasababisha watu wengi kushindwa kuona huu “mtego” ninaoenda kukuonyesha hapo chini.

Sasa niseme pesa ni nini?

Pesa maana yake ni chochote kile kinachofanikisha exchange of VALUE.

Nimeweka Value kwa herufi kubwa kwasababu ndiyo msingi wa wewe kuanza kuelewa pesa ni nini hasa.

Ukiwa unataka kupata pesa inabidi ubadili vile unavyoiwazia pesa. Inabidi uione pesa ni exchange of value kwamaana ya kwamba kama unauwezo wakutoa value kwenye jambo lolote lile basi mtu wangu soon utapata pesa.

Kama wewe hakuna VALUE yoyote unayoweza kutoa hiyo maana yake wewe ni valueless kwahiyo pesa utaiona kwenye picha tu.

Value maana yake ni uwezo wakufanya chochote kile kinachoongeza ustawi katika maisha ya watu au biashara.

Kama Wewe unafahamu kuuza kwa mfano, na ukanipatia mimi customer atakayenunua bidhaa nayouza hiyo maana yake umetoa value. Watu wengi wanachanganya vyeti na uwezo wakutoa value ndiyo maana inakuwa ngumu kupata kazi au pesa sehemu yoyote ile. Kama unapitia hili tatizo unahitaji usaidizi my friend.

Alright,

Sasa tuanze hatua ya kwanza kabisa kama ningekuwa sina pesa, nimepigika aka broke. Je, ningfanya nini?

1 • Kujifunza kushawishi + kuuza

Jambo la kwanza kabisa ningeingia YouTube au ningetafuta mtu yeyote mwenye weledi katika eneo hili anipige brush je nijiweke namna gani niweze kuwa na ushawishi zaidi ninapojaribu kumuuzia mteja bidhaa au huduma? Je, nitawezaje ku close deals nyingi ninapowasiliana na clients kuliko ninazokataliwa?

Nitahakikisha najinoa kwenye haya maeneo mawili ya USHAWISHI NA KUUZA na nitaanza kufanyia kazi kila nalojifunza kwakujaribu kuuza vitu vilivyo ghetto lakini situmii. Haitajalisha watu watanunua au vipi. Lengo langu hapa nataka nipata ile experience yakukataliwa au kukubaliwa ili niwe na confidence zaidi kwasababu lengo langu ni kupata pesa kidogo hapa mwanzo + confidence.

Nitaweza kuuza chochote nilichonacho kwakutimia JF au Kupatana, Instagram, Facebook etc.

Ok tuendelee...

Unajua persuation kwenye kuuza ni muhimu sana kwasababu watu wengi huwa hawatoi pesa bila kushawishiwa.

Na ili uweze kuwa mbobezi katika skill hii muhimi kabisa ya ushawishi basi inabidi utape real experience na si vinginevyo.

This skill alone will make you millions.


2 • Nitatafuta wafanyabiashara wenye kumiliki real estate (lodges, nyumba za kupanga/apartments etc) na kuonge nao.

Hatua ya pili sasa ni kuupgrade my game ili nianze kutengeneza pesa yakueleweka kwasababu mbinu ya kwanza ya kuuza chochote nisichokitumia ghetto si sustainable.

Hapa nitajikita “kuwawinda” wafanyabiashara wa business nilizotaja hapo juu na kuwaeleza iwapo wapo tayari nikiwalete wateja iwe kwenye lodge, apartments wanazopangisha, commercial buildings etc na wao kunilipa commissions. Hata kama sijawahi kuuza real estate nitawapiga sound kwasababu sina chakupoteza lakini wapo pia hawana cha kupoteza na ninafahamu wafanyabiashara wengi wanapenda sana ukiwambia unawaletea wateja.

Nitahakikisha wafanyabiashara wote ninapata email zao kwasababu huu ni mtaji kwa baadaye. Nitakuonyesha ni kwa jinsi gani.

Baada ya wafanyiashara kadhaa kunipatia go ahead sasa nitaanza rasmi kazi ya kuuza. Nitatumia Internet kuweka matangazo yangu na kwasababu kuna njia nyingi za bure kama vile kutangaza hapa JF site inayotembelewa na thousands of visitors daily. Hii ni opportunity kubwa sana kufikia pontential customers kwa hapa Tz.

Nikianza kuingiza pesa kwa kila mpangaji nayempeleka kwa hawa Businessmen ninaowasaidia kuwapatia wateja, sasa nitakuwa nimeanza kuwa expert na ninafahamu watu wengi watakuwa wananitafuta kwakutumia number ya simu au email kwaajili ya kupata nyumba, lodge au apartment kwahiyo hawa wateja ni muhimu kuendelea kuwa nao. Na mbinu yakuweza kuendelea kuwa na mahusianao mazuri nao ni kutumia email marketing ndiyo maana nitahakikisha napata email ya yoyote yule anayehitaji au atakayehitaji huduma nayotoa.


3 • Nitaanza kuunda Email list kwaajili ya Email marketing.

Email marketing ni powerful.

Pengine zaidi ya neno lenyewe powerful.

Email marketing inauwezo wakubadilisha potential customers kuwa paying customers.

Unajua mara nyingi sana tunashindwa kuuza kwasababu tu unakuta mfanyabiashara amejaribu kumshawishi mteja mara moja sasa mteja asiponunua unamuachia. You are doing big mistake my friend.

Huyu mteja ungeweza kumpata iwapo ungetumia mbinu hii ya email marketing ninayokufahamisha.

Kwa wasio fahamu, Email Marketing maana yake ni kutumia email software kuwasiliana na watu wote walio sibscribe katika list yako. Hii njia ni amazing kwasababu inasaidia sana kujenga trust. Sasa na kama ujuavyo potential customers wakikuamini basi hapo utakatengeneza pesa kwasababu watakuwa tayari kutoa pesa.

Ok, niendelee.....hapa kwenye kuunda Email list maana yake nitahakikisha ninakusanya Email za kila mtu aliye interested na na real estate, awe mtu anayetafuta chumba cha kupanga, anataka kununua nyumba etc. Hawa subscribers kila wiki nitakuwa nawatumia Email zakuwafahamisha deals au offer mpya.

My friend kama upo na idadi kubwa kwneye email list yako basi utatengeneza pesa hadi utajicheka kwanini ulikuwa unashindwa kutengeneza pesa kwakukosa maarifa. Trust me on this. Ukitaka ninaweza kukufahamisha zaidi. Just send me message.

4 • Nitatumia same technique number mbili na number tatu kuanzisha biashara nyingine. Na biashara hii nitakayoanzisha this time ni digital marketing.

Kwasababu nimeweza kufanikiwa kwenye real estate na nimefahamu mbinu zakutumia Email Marketing kushawishi wateja sasa basi nitajitanua zaidi kwakuanza kutafuta wafanyabiashara katika maeneo mengine ili niwasaidie kwenye marketing & sales mtandaoni. Hapa nitakachofanya nikutafuta team. Si lazima nifahamu au nifanye kila kitu mwenyewe.

Kama nilivyosema skill muhimu kabisa nitakayokuwa naitegemea ni PERSUASSION kwahiyo kazi kama vile Kutengeneza Facebook Ads au mambo mengine yote ya kiteknolojia nitakuwa nawapatia team yangu.

Kufikia hapa sasa nitakiwa na leverage experience kupata watu au biashara zakufanya nazo kazi mpya lakini pia nitakuwa naendelea kukuza Email list yangu. Na ikitokea nimefikisha subscibers let say 50,000 hiyo maana yake mimi nina “soko” langu binafsi na ninaweza kutengeneza pesa nyingi bila kikwazo au kutengemea platform nyingine mfano JamiiForums au Facebook au Google Advertising. Baada ya hapa nitaendelea kutumia same techniques kuendelea kukuza Business zangu 10X.

Yes, ni hayo kwa leo na ninaomba niishie hapa.

Cheers
 
Hapo kwenye email umepawekea uzito sana! Binafsi sikumbuki ni lini niliwahi fungua email ya matangazo zaidi kama nitakuwa na muda nitazifuta na ku- unsubscribe...

Hiyo mbinu ya email nadhani ni kwa nchi zingine, bongo ni whatsapp
Kwanilivyomuelewa nahisi hujamuelewa ngoja atakuja kukuelekeza ila mfano mwanafunzi alikuja stationary kwako kununua notes za Geography form 3 topic fulani anakuachia au unachukua nambayake inakuwa unampa update ya matoleo ya notes mpya za form 3 mzigo unapoingia kuna uwezekano wa kuja kununua tena tu.
 
Hapo kwenye email umepawekea uzito sana! Binafsi sikumbuki ni lini niliwahi fungua email ya matangazo zaidi kama nitakuwa na muda nitazifuta na ku- unsubscribe...

Hiyo mbinu ya email nadhani ni kwa nchi zingine, bongo ni whatsapp

Email Marketing huwezi fananisha na Whatsapp.

Pia ukiamua ku-unsubscribe kwenye Email list uliyojiunga zamani bado kuna thousands ya watu wengine watakaoendelea kupokea emails.

Na utafanya uamuzi wakujiondoa iwapo unaona hakuna cha maana unachopata. Na kufanya hivyo ni sawa tu.

Pia nikufahamishe kwenye Email marketing, strategies zinatofautiana.

Mimi ninaptengeneza pesa kila siku kwakutumia Email marketing. Kwasababu ninaufahamu mkubwa wakuandika sales copy.

Niseme tu bado hujaelewa sana nguvu ya Email marketing na vile inafanya kazi kwasababu wewe si digital marketer.

Kuwa na Email list kubwa katika Business yako hiyo ni ASSET.

Kingine...

Hayo magroup ya Whatsapp mnayotumia kuendesha Business mwisho wake ni migogoro. Nimeona watu wengi wanafungua Whatsapp groups Kwaajili ya Business lakini Inageuka kuwa vijiwe vya umbea na mwisho wa siku Business inaonekana disorganized na itakufa kifo cha mende.

Kwaupande wa email marketing hii ni next level yakufanya digital marketing na kupata long term customer.

Cheers
 
Wakuu,

Kwa dhati kabisa niseme pesa zipo nyingi sana kama utafahamu tu namna yakuzipata.

Ngoja nikwambie kitu.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza na kujaribu mbinu tofauti zakuanzisha biashara hasahasa Online kwakutumia mtaji mdogo kabisa au kutotumia pesa kabisa na mwisho wa siku kufanikiwa katika biashara ninayofanya. Niseme wazi kuweza kuanzisha business ya namna hii inahitaji kuwa strategic kwamaana ya kwamba ukianza hizi business basi unafahamu goal yako ni nini. Hii inakuwa rahisi kufikia goals zako kwa haraka.

Kwa maana hiyo basi nataka nikupatie step by step process jinsi unavyoweza kuanzisha side hustle sehemu yoyote ulipo na kuanza kutengeneza pesa hata kama huna kumi mfukoni ilimradi tu uwe na access ya internet.

Kabla sijaanza nataka nikuonyeshe maana ya pesa ili iwe rahisi kukubaliana hapa vinginevyo unaweza usinielewe. Nataka niweke hili sawa kwasababu watu wengi wamekuwa na mawazo siyo kabisa kuhusu pesa . Hii hali inasababisha watu wengi kushindwa kuona huu “mtego” ninaoenda kukuonyesha hapo chini.

Sasa niseme pesa ni nini?

Pesa maana yake ni chochote kile kinachofanikisha exchange of VALUE.

Nimeweka Value kwa herufi kubwa kwasababu ndiyo msingi wa wewe kuanza kuelewa pesa ni nini hasa.

Ukiwa unataka kupata pesa inabidi ubadili vile unavyoiwazia pesa. Inabidi uione pesa ni exchange of value kwamaana ya kwamba kama unauwezo wakutoa value kwenye jambo lolote lile basi mtu wangu soon utapata pesa.

Kama wewe hakuna VALUE yoyote unayoweza kutoa hiyo maana yake wewe ni valueless kwahiyo pesa utaiona kwenye picha tu.

Value maana yake ni uwezo wakufanya chochote kile kinachoongeza ustawi katika maisha ya watu au biashara.

Kama Wewe unafahamu kuuza kwa mfano, na ukanipatia mimi customer atakayenunua bidhaa nayouza hiyo maana yake umetoa value. Watu wengi wanachanganya vyeti na uwezo wakutoa value ndiyo maana inakuwa ngumu kupata kazi au pesa sehemu yoyote ile. Kama unapitia hili tatizo unahitaji usaidizi my friend.

Alright,

Sasa tuanze hatua ya kwanza kabisa kama ningekuwa sina pesa, nimepigika aka broke. Je, ningfanya nini?

1 • Kujifunza kushawishi + kuuza

Jambo la kwanza kabisa ningeingia YouTube au ningetafuta mtu yeyote mwenye weledi katika eneo hili anipige brush je nijiweke namna gani niweze kuwa na ushawishi zaidi ninapojaribu kumuuzia mteja bidhaa au huduma? Je, nitawezaje ku close deals nyingi ninapowasiliana na clients kuliko ninazokataliwa?

Nitahakikisha najinoa kwenye haya maeneo mawili ya USHAWISHI NA KUUZA na nitaanza kufanyia kazi kila nalojifunza kwakujaribu kuuza vitu vilivyo ghetto lakini situmii. Haitajalisha watu watanunua au vipi. Lengo langu hapa nataka nipata ile experience yakukataliwa au kukubaliwa ili niwe na confidence zaidi kwasababu lengo langu ni kupata pesa kidogo hapa mwanzo + confidence.

Nitaweza kuuza chochote nilichonacho kwakutimia JF au Kupatana, Instagram, Facebook etc.

Ok tuendelee...

Unajua persuation kwenye kuuza ni muhimu sana kwasababu watu wengi huwa hawatoi pesa bila kushawishiwa.

Na ili uweze kuwa mbobezi katika skill hii muhimi kabisa ya ushawishi basi inabidi utape real experience na si vinginevyo.

This skill alone will make you millions.


2 • Nitatafuta wafanyabiashara wenye kumiliki real estate (lodges, nyumba za kupanga/apartments etc) na kuonge nao.

Hatua ya pili sasa ni kuupgrade my game ili nianze kutengeneza pesa yakueleweka kwasababu mbinu ya kwanza ya kuuza chochote nisichokitumia ghetto si sustainable.

Hapa nitajikita “kuwawinda” wafanyabiashara wa business nilizotaja hapo juu na kuwaeleza iwapo wapo tayari nikiwalete wateja iwe kwenye lodge, apartments wanazopangisha, commercial buildings etc na wao kunilipa commissions. Hata kama sijawahi kuuza real estate nitawapiga sound kwasababu sina chakupoteza lakini wapo pia hawana cha kupoteza na ninafahamu wafanyabiashara wengi wanapenda sana ukiwambia unawaletea wateja.

Nitahakikisha wafanyabiashara wote ninapata email zao kwasababu huu ni mtaji kwa baadaye. Nitakuonyesha ni kwa jinsi gani.

Baada ya wafanyiashara kadhaa kunipatia go ahead sasa nitaanza rasmi kazi ya kuuza. Nitatumia Internet kuweka matangazo yangu na kwasababu kuna njia nyingi za bure kama vile kutangaza hapa JF site inayotembelewa na thousands of visitors daily. Hii ni opportunity kubwa sana kufikia pontential customers kwa hapa Tz.

Nikianza kuingiza pesa kwa kila mpangaji nayempeleka kwa hawa Businessmen ninaowasaidia kuwapatia wateja, sasa nitakuwa nimeanza kuwa expert na ninafahamu watu wengi watakuwa wananitafuta kwakutumia number ya simu au email kwaajili ya kupata nyumba, lodge au apartment kwahiyo hawa wateja ni muhimu kuendelea kuwa nao. Na mbinu yakuweza kuendelea kuwa na mahusianao mazuri nao ni kutumia email marketing ndiyo maana nitahakikisha napata email ya yoyote yule anayehitaji au atakayehitaji huduma nayotoa.


3 • Nitaanza kuunda Email list kwaajili ya Email marketing.

Email marketing ni powerful.

Pengine zaidi ya neno lenyewe powerful.

Email marketing inauwezo wakubadilisha potential customers kuwa paying customers.

Unajua mara nyingi sana tunashindwa kuuza kwasababu tu unakuta mfanyabiashara amejaribu kumshawishi mteja mara moja sasa mteja asiponunua unamuachia. You are doing big mistake my friend.

Huyu mteja ungeweza kumpata iwapo ungetumia mbinu hii ya email marketing ninayokufahamisha.

Kwa wasio fahamu, Email Marketing maana yake ni kutumia email software kuwasiliana na watu wote walio sibscribe katika list yako. Hii njia ni amazing kwasababu inasaidia sana kujenga trust. Sasa na kama ujuavyo potential customers wakikuamini basi hapo utakatengeneza pesa kwasababu watakuwa tayari kutoa pesa.

Ok, niendelee.....hapa kwenye kuunda Email list maana yake nitahakikisha ninakusanya Email za kila mtu aliye interested na na real estate, awe mtu anayetafuta chumba cha kupanga, anataka kununua nyumba etc. Hawa subscribers kila wiki nitakuwa nawatumia Email zakuwafahamisha deals au offer mpya.

My friend kama upo na idadi kubwa kwneye email list yako basi utatengeneza pesa hadi utajicheka kwanini ulikuwa unashindwa kutengeneza pesa kwakukosa maarifa. Trust me on this. Ukitaka ninaweza kukufahamisha zaidi. Just send me message.

4 • Nitatumia same technique number mbili na number tatu kuanzisha biashara nyingine. Na biashara hii nitakayoanzisha this time ni digital marketing.

Kwasababu nimeweza kufanikiwa kwenye real estate na nimefahamu mbinu zakutumia Email Marketing kushawishi wateja sasa basi nitajitanua zaidi kwakuanza kutafuta wafanyabiashara katika maeneo mengine ili niwasaidie kwenye marketing & sales mtandaoni. Hapa nitakachofanya nikutafuta team. Si lazima nifahamu au nifanye kila kitu mwenyewe.

Kama nilivyosema skill muhimu kabisa nitakayokuwa naitegemea ni PERSUASSION kwahiyo kazi kama vile Kutengeneza Facebook Ads au mambo mengine yote ya kiteknolojia nitakuwa nawapatia team yangu.

Kufikia hapa sasa nitakiwa na leverage experience kupata watu au biashara zakufanya nazo kazi mpya lakini pia nitakuwa naendelea kukuza Email list yangu. Na ikitokea nimefikisha subscibers let say 50,000 hiyo maana yake mimi nina “soko” langu binafsi na ninaweza kutengeneza pesa nyingi bila kikwazo au kutengemea platform nyingine mfano JamiiForums au Facebook au Google Advertising. Baada ya hapa nitaendelea kutumia same techniques kuendelea kukuza Business zangu 10X.

Yes, ni hayo kwa leo na ninaomba niishie hapa.

Cheers
It's good gold but U will back soon
 
Yes, ni watanzania wachache sana wanaotumia email serious

Mimi nina Email list kubwa na open rate ni zaidi ya 70% kwa kila email ninayotuma.

Nikutuma email ninafahamu nani anasoma email, nani hasomi. Kwa ufupi ninaona kila kitu. Hii inakuwa rahisi mimi kubadili strategy.

Hapa ninaweza kuwaondoa wasio active kwasababu lengo langu ni kuwa na subscribers walio interested kweli na product au huduma nazauza.

Kingine watumiaji wa email Tz ni wengi tu. Tatizo ni kwamba hawa wanaofanya marketing si wazuri kufahamu je, nitaandika sales copy ya namna gani ili ilete positive result?

Mimi ninatumua hadi mind altering techniques kuhakikisha tu copy nazoandika zinaleta faida 10X
 
Ni thread kama hizi ndo zinanipa ugumu nkitaka kuifuta jf kwenye simu..mtoa madaa wee bonge la mtu..Mungu akubariki..ngja niipitiee vizuri tena then ntakurudiaa
 
Email zina advantage kubwa sana, wataalam wa facebook ads tunajua umuhimu wake... #RETARGETING #CUSTOM AUDIENCES

asikwambie mtu ukiweza kukusanya email addresses, zikisanye zina faida mno Kama unafanya matangazo ya kulipia

Kweli wewe unaelewa hii strategy. Email ni asset
 
mleta mada.nimekwelewa sana.
Kila kwenye email hapana.
Ni bora Bissness whatsapp.inasaidia sana.
Na fb inasaidia sana.sana iko poa sana kama unahitaji wateja.
Na sponsered id. Zinanisaidia mno kwenye ka on line biashara Yang.🙏🙏
 
mleta mada.nimekwelewa sana.
Kila kwenye email hapana.
Ni bora Bissness whatsapp.inasaidia sana.
Na fb inasaidia sana.sana iko poa sana kama unahitaji wateja.
Na sponsered id. Zinanisaidia mno kwenye ka on line biashara Yang.



Mkuu, Emails tunatumia kufanya kitu kinaitwa “retargeting” kwenye matangazo ya Facebook.

Ndiyo maana tunasema ni ASSET.

Msome mdau #12

Hii ni advanced feature ukitumia kwenye hako ka “Online Business” kako utashangaa jinsi itakavyo scale up”

Nimetumia sana Whatsapp Business lakini kadiri business inavyokuwa huwezi ku-hundle potential clients individually.

Hapa ndipo email marketing inaingia.

Kwa mfano mimi nina subscribers kwenye Email list yangu zaidi ya 8000+.

Hawa potential clients utaweza vipi ku-hundle relationship kwamaana ya kuwasiliana nao wote usiwapoteze?

Jibu ni Email marketing.

Kwenye Email marketing ninauwezo wakufanya automation. Yaani ninauwezo wakuweka series of Email ambazo zinakuweza kumshawishi kila mteja kati ya hawa 8000+ hadi kufikia hatua ya kunnua bidhaa bila mimi kufanya chochote.

Najua unasema duuuh

Ndiyo hivyo mkuu, wewe endelea kujifunza taratibu tu.

Cheers
 
Mkuu, Emails tunatumia kufanya kitu kinaitwa “retargeting” kwenye matangazo ya Facebook.

Ndiyo maana tunasema ni ASSET.

Msome mdau #12

Hii ni advanced feature ukitumia kwenye hako ka “Online Business” kako utashangaa jinsi itakavyo scale up”

Nimetumia sana Whatsapp Business lakini kadiri business inavyokuwa huwezi ku-hundle potential clients individually.

Hapa ndipo email marketing inaingia.

Kwa mfano mimi nina subscribers kwenye Email list yangu zaidi ya 8000+.

Hawa potential clients utaweza vipi ku-hundle relationship kwamaana ya kuwasiliana nao wote usiwapoteze?

Jibu ni Email marketing.

Kwenye Email marketing ninauwezo wakufanya automation. Yaani ninauwezo wakuweka series of Email ambazo zinakuweza kumshawishi kila mteja kati ya hawa 8000+ hadi kufikia hatua ya kunnua bidhaa bila mimi kufanya chochote.

Najua unasema duuuh

Ndiyo hivyo mkuu, wewe endelea kujifunza taratibu tu.

Cheers
[SUP]itabidi unifundishe sasa.niongeze wateja.mweehe[/SUP]
 
[SUP]itabidi unifundishe sasa.niongeze wateja.mweehe[/SUP]

Ndiyo mkuu karibu.

Unajua inafika kipindi wateja wanaongezeka huwezi tena kuendesha Business kwakutumia Whatsapp kwasababu utashindwa kuwa organized na hivyo business itashindwa kukuwa.

Huu ni mtego biashara nyingi hizi ndogo zinakwama.

Cheers
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom