GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,655
Wakuu,
Kwa dhati kabisa niseme pesa zipo nyingi sana kama utafahamu tu namna yakuzipata.
Ngoja nikwambie kitu.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza na kujaribu mbinu tofauti zakuanzisha biashara hasahasa Online kwakutumia mtaji mdogo kabisa au kutotumia pesa kabisa na mwisho wa siku kufanikiwa katika biashara ninayofanya. Niseme wazi kuweza kuanzisha business ya namna hii inahitaji kuwa strategic kwamaana ya kwamba ukianza hizi business basi unafahamu goal yako ni nini. Hii inakuwa rahisi kufikia goals zako kwa haraka.
Kwa maana hiyo basi nataka nikupatie step by step process jinsi unavyoweza kuanzisha side hustle sehemu yoyote ulipo na kuanza kutengeneza pesa hata kama huna kumi mfukoni ilimradi tu uwe na access ya internet.
Kabla sijaanza nataka nikuonyeshe maana ya pesa ili iwe rahisi kukubaliana hapa vinginevyo unaweza usinielewe. Nataka niweke hili sawa kwasababu watu wengi wamekuwa na mawazo siyo kabisa kuhusu pesa . Hii hali inasababisha watu wengi kushindwa kuona huu “mtego” ninaoenda kukuonyesha hapo chini.
Sasa niseme pesa ni nini?
Pesa maana yake ni chochote kile kinachofanikisha exchange of VALUE.
Nimeweka Value kwa herufi kubwa kwasababu ndiyo msingi wa wewe kuanza kuelewa pesa ni nini hasa.
Ukiwa unataka kupata pesa inabidi ubadili vile unavyoiwazia pesa. Inabidi uione pesa ni exchange of value kwamaana ya kwamba kama unauwezo wakutoa value kwenye jambo lolote lile basi mtu wangu soon utapata pesa.
Kama wewe hakuna VALUE yoyote unayoweza kutoa hiyo maana yake wewe ni valueless kwahiyo pesa utaiona kwenye picha tu.
Value maana yake ni uwezo wakufanya chochote kile kinachoongeza ustawi katika maisha ya watu au biashara.
Kama Wewe unafahamu kuuza kwa mfano, na ukanipatia mimi customer atakayenunua bidhaa nayouza hiyo maana yake umetoa value. Watu wengi wanachanganya vyeti na uwezo wakutoa value ndiyo maana inakuwa ngumu kupata kazi au pesa sehemu yoyote ile. Kama unapitia hili tatizo unahitaji usaidizi my friend.
Alright,
Sasa tuanze hatua ya kwanza kabisa kama ningekuwa sina pesa, nimepigika aka broke. Je, ningfanya nini?
1 • Kujifunza kushawishi + kuuza
Jambo la kwanza kabisa ningeingia YouTube au ningetafuta mtu yeyote mwenye weledi katika eneo hili anipige brush je nijiweke namna gani niweze kuwa na ushawishi zaidi ninapojaribu kumuuzia mteja bidhaa au huduma? Je, nitawezaje ku close deals nyingi ninapowasiliana na clients kuliko ninazokataliwa?
Nitahakikisha najinoa kwenye haya maeneo mawili ya USHAWISHI NA KUUZA na nitaanza kufanyia kazi kila nalojifunza kwakujaribu kuuza vitu vilivyo ghetto lakini situmii. Haitajalisha watu watanunua au vipi. Lengo langu hapa nataka nipata ile experience yakukataliwa au kukubaliwa ili niwe na confidence zaidi kwasababu lengo langu ni kupata pesa kidogo hapa mwanzo + confidence.
Nitaweza kuuza chochote nilichonacho kwakutimia JF au Kupatana, Instagram, Facebook etc.
Ok tuendelee...
Unajua persuation kwenye kuuza ni muhimu sana kwasababu watu wengi huwa hawatoi pesa bila kushawishiwa.
Na ili uweze kuwa mbobezi katika skill hii muhimi kabisa ya ushawishi basi inabidi utape real experience na si vinginevyo.
This skill alone will make you millions.
2 • Nitatafuta wafanyabiashara wenye kumiliki real estate (lodges, nyumba za kupanga/apartments etc) na kuonge nao.
Hatua ya pili sasa ni kuupgrade my game ili nianze kutengeneza pesa yakueleweka kwasababu mbinu ya kwanza ya kuuza chochote nisichokitumia ghetto si sustainable.
Hapa nitajikita “kuwawinda” wafanyabiashara wa business nilizotaja hapo juu na kuwaeleza iwapo wapo tayari nikiwalete wateja iwe kwenye lodge, apartments wanazopangisha, commercial buildings etc na wao kunilipa commissions. Hata kama sijawahi kuuza real estate nitawapiga sound kwasababu sina chakupoteza lakini wapo pia hawana cha kupoteza na ninafahamu wafanyabiashara wengi wanapenda sana ukiwambia unawaletea wateja.
Nitahakikisha wafanyabiashara wote ninapata email zao kwasababu huu ni mtaji kwa baadaye. Nitakuonyesha ni kwa jinsi gani.
Baada ya wafanyiashara kadhaa kunipatia go ahead sasa nitaanza rasmi kazi ya kuuza. Nitatumia Internet kuweka matangazo yangu na kwasababu kuna njia nyingi za bure kama vile kutangaza hapa JF site inayotembelewa na thousands of visitors daily. Hii ni opportunity kubwa sana kufikia pontential customers kwa hapa Tz.
Nikianza kuingiza pesa kwa kila mpangaji nayempeleka kwa hawa Businessmen ninaowasaidia kuwapatia wateja, sasa nitakuwa nimeanza kuwa expert na ninafahamu watu wengi watakuwa wananitafuta kwakutumia number ya simu au email kwaajili ya kupata nyumba, lodge au apartment kwahiyo hawa wateja ni muhimu kuendelea kuwa nao. Na mbinu yakuweza kuendelea kuwa na mahusianao mazuri nao ni kutumia email marketing ndiyo maana nitahakikisha napata email ya yoyote yule anayehitaji au atakayehitaji huduma nayotoa.
3 • Nitaanza kuunda Email list kwaajili ya Email marketing.
Email marketing ni powerful.
Pengine zaidi ya neno lenyewe powerful.
Email marketing inauwezo wakubadilisha potential customers kuwa paying customers.
Unajua mara nyingi sana tunashindwa kuuza kwasababu tu unakuta mfanyabiashara amejaribu kumshawishi mteja mara moja sasa mteja asiponunua unamuachia. You are doing big mistake my friend.
Huyu mteja ungeweza kumpata iwapo ungetumia mbinu hii ya email marketing ninayokufahamisha.
Kwa wasio fahamu, Email Marketing maana yake ni kutumia email software kuwasiliana na watu wote walio sibscribe katika list yako. Hii njia ni amazing kwasababu inasaidia sana kujenga trust. Sasa na kama ujuavyo potential customers wakikuamini basi hapo utakatengeneza pesa kwasababu watakuwa tayari kutoa pesa.
Ok, niendelee.....hapa kwenye kuunda Email list maana yake nitahakikisha ninakusanya Email za kila mtu aliye interested na na real estate, awe mtu anayetafuta chumba cha kupanga, anataka kununua nyumba etc. Hawa subscribers kila wiki nitakuwa nawatumia Email zakuwafahamisha deals au offer mpya.
My friend kama upo na idadi kubwa kwneye email list yako basi utatengeneza pesa hadi utajicheka kwanini ulikuwa unashindwa kutengeneza pesa kwakukosa maarifa. Trust me on this. Ukitaka ninaweza kukufahamisha zaidi. Just send me message.
4 • Nitatumia same technique number mbili na number tatu kuanzisha biashara nyingine. Na biashara hii nitakayoanzisha this time ni digital marketing.
Kwasababu nimeweza kufanikiwa kwenye real estate na nimefahamu mbinu zakutumia Email Marketing kushawishi wateja sasa basi nitajitanua zaidi kwakuanza kutafuta wafanyabiashara katika maeneo mengine ili niwasaidie kwenye marketing & sales mtandaoni. Hapa nitakachofanya nikutafuta team. Si lazima nifahamu au nifanye kila kitu mwenyewe.
Kama nilivyosema skill muhimu kabisa nitakayokuwa naitegemea ni PERSUASSION kwahiyo kazi kama vile Kutengeneza Facebook Ads au mambo mengine yote ya kiteknolojia nitakuwa nawapatia team yangu.
Kufikia hapa sasa nitakiwa na leverage experience kupata watu au biashara zakufanya nazo kazi mpya lakini pia nitakuwa naendelea kukuza Email list yangu. Na ikitokea nimefikisha subscibers let say 50,000 hiyo maana yake mimi nina “soko” langu binafsi na ninaweza kutengeneza pesa nyingi bila kikwazo au kutengemea platform nyingine mfano JamiiForums au Facebook au Google Advertising. Baada ya hapa nitaendelea kutumia same techniques kuendelea kukuza Business zangu 10X.
Yes, ni hayo kwa leo na ninaomba niishie hapa.
Cheers
Kwa dhati kabisa niseme pesa zipo nyingi sana kama utafahamu tu namna yakuzipata.
Ngoja nikwambie kitu.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikichunguza na kujaribu mbinu tofauti zakuanzisha biashara hasahasa Online kwakutumia mtaji mdogo kabisa au kutotumia pesa kabisa na mwisho wa siku kufanikiwa katika biashara ninayofanya. Niseme wazi kuweza kuanzisha business ya namna hii inahitaji kuwa strategic kwamaana ya kwamba ukianza hizi business basi unafahamu goal yako ni nini. Hii inakuwa rahisi kufikia goals zako kwa haraka.
Kwa maana hiyo basi nataka nikupatie step by step process jinsi unavyoweza kuanzisha side hustle sehemu yoyote ulipo na kuanza kutengeneza pesa hata kama huna kumi mfukoni ilimradi tu uwe na access ya internet.
Kabla sijaanza nataka nikuonyeshe maana ya pesa ili iwe rahisi kukubaliana hapa vinginevyo unaweza usinielewe. Nataka niweke hili sawa kwasababu watu wengi wamekuwa na mawazo siyo kabisa kuhusu pesa . Hii hali inasababisha watu wengi kushindwa kuona huu “mtego” ninaoenda kukuonyesha hapo chini.
Sasa niseme pesa ni nini?
Pesa maana yake ni chochote kile kinachofanikisha exchange of VALUE.
Nimeweka Value kwa herufi kubwa kwasababu ndiyo msingi wa wewe kuanza kuelewa pesa ni nini hasa.
Ukiwa unataka kupata pesa inabidi ubadili vile unavyoiwazia pesa. Inabidi uione pesa ni exchange of value kwamaana ya kwamba kama unauwezo wakutoa value kwenye jambo lolote lile basi mtu wangu soon utapata pesa.
Kama wewe hakuna VALUE yoyote unayoweza kutoa hiyo maana yake wewe ni valueless kwahiyo pesa utaiona kwenye picha tu.
Value maana yake ni uwezo wakufanya chochote kile kinachoongeza ustawi katika maisha ya watu au biashara.
Kama Wewe unafahamu kuuza kwa mfano, na ukanipatia mimi customer atakayenunua bidhaa nayouza hiyo maana yake umetoa value. Watu wengi wanachanganya vyeti na uwezo wakutoa value ndiyo maana inakuwa ngumu kupata kazi au pesa sehemu yoyote ile. Kama unapitia hili tatizo unahitaji usaidizi my friend.
Alright,
Sasa tuanze hatua ya kwanza kabisa kama ningekuwa sina pesa, nimepigika aka broke. Je, ningfanya nini?
1 • Kujifunza kushawishi + kuuza
Jambo la kwanza kabisa ningeingia YouTube au ningetafuta mtu yeyote mwenye weledi katika eneo hili anipige brush je nijiweke namna gani niweze kuwa na ushawishi zaidi ninapojaribu kumuuzia mteja bidhaa au huduma? Je, nitawezaje ku close deals nyingi ninapowasiliana na clients kuliko ninazokataliwa?
Nitahakikisha najinoa kwenye haya maeneo mawili ya USHAWISHI NA KUUZA na nitaanza kufanyia kazi kila nalojifunza kwakujaribu kuuza vitu vilivyo ghetto lakini situmii. Haitajalisha watu watanunua au vipi. Lengo langu hapa nataka nipata ile experience yakukataliwa au kukubaliwa ili niwe na confidence zaidi kwasababu lengo langu ni kupata pesa kidogo hapa mwanzo + confidence.
Nitaweza kuuza chochote nilichonacho kwakutimia JF au Kupatana, Instagram, Facebook etc.
Ok tuendelee...
Unajua persuation kwenye kuuza ni muhimu sana kwasababu watu wengi huwa hawatoi pesa bila kushawishiwa.
Na ili uweze kuwa mbobezi katika skill hii muhimi kabisa ya ushawishi basi inabidi utape real experience na si vinginevyo.
This skill alone will make you millions.
2 • Nitatafuta wafanyabiashara wenye kumiliki real estate (lodges, nyumba za kupanga/apartments etc) na kuonge nao.
Hatua ya pili sasa ni kuupgrade my game ili nianze kutengeneza pesa yakueleweka kwasababu mbinu ya kwanza ya kuuza chochote nisichokitumia ghetto si sustainable.
Hapa nitajikita “kuwawinda” wafanyabiashara wa business nilizotaja hapo juu na kuwaeleza iwapo wapo tayari nikiwalete wateja iwe kwenye lodge, apartments wanazopangisha, commercial buildings etc na wao kunilipa commissions. Hata kama sijawahi kuuza real estate nitawapiga sound kwasababu sina chakupoteza lakini wapo pia hawana cha kupoteza na ninafahamu wafanyabiashara wengi wanapenda sana ukiwambia unawaletea wateja.
Nitahakikisha wafanyabiashara wote ninapata email zao kwasababu huu ni mtaji kwa baadaye. Nitakuonyesha ni kwa jinsi gani.
Baada ya wafanyiashara kadhaa kunipatia go ahead sasa nitaanza rasmi kazi ya kuuza. Nitatumia Internet kuweka matangazo yangu na kwasababu kuna njia nyingi za bure kama vile kutangaza hapa JF site inayotembelewa na thousands of visitors daily. Hii ni opportunity kubwa sana kufikia pontential customers kwa hapa Tz.
Nikianza kuingiza pesa kwa kila mpangaji nayempeleka kwa hawa Businessmen ninaowasaidia kuwapatia wateja, sasa nitakuwa nimeanza kuwa expert na ninafahamu watu wengi watakuwa wananitafuta kwakutumia number ya simu au email kwaajili ya kupata nyumba, lodge au apartment kwahiyo hawa wateja ni muhimu kuendelea kuwa nao. Na mbinu yakuweza kuendelea kuwa na mahusianao mazuri nao ni kutumia email marketing ndiyo maana nitahakikisha napata email ya yoyote yule anayehitaji au atakayehitaji huduma nayotoa.
3 • Nitaanza kuunda Email list kwaajili ya Email marketing.
Email marketing ni powerful.
Pengine zaidi ya neno lenyewe powerful.
Email marketing inauwezo wakubadilisha potential customers kuwa paying customers.
Unajua mara nyingi sana tunashindwa kuuza kwasababu tu unakuta mfanyabiashara amejaribu kumshawishi mteja mara moja sasa mteja asiponunua unamuachia. You are doing big mistake my friend.
Huyu mteja ungeweza kumpata iwapo ungetumia mbinu hii ya email marketing ninayokufahamisha.
Kwa wasio fahamu, Email Marketing maana yake ni kutumia email software kuwasiliana na watu wote walio sibscribe katika list yako. Hii njia ni amazing kwasababu inasaidia sana kujenga trust. Sasa na kama ujuavyo potential customers wakikuamini basi hapo utakatengeneza pesa kwasababu watakuwa tayari kutoa pesa.
Ok, niendelee.....hapa kwenye kuunda Email list maana yake nitahakikisha ninakusanya Email za kila mtu aliye interested na na real estate, awe mtu anayetafuta chumba cha kupanga, anataka kununua nyumba etc. Hawa subscribers kila wiki nitakuwa nawatumia Email zakuwafahamisha deals au offer mpya.
My friend kama upo na idadi kubwa kwneye email list yako basi utatengeneza pesa hadi utajicheka kwanini ulikuwa unashindwa kutengeneza pesa kwakukosa maarifa. Trust me on this. Ukitaka ninaweza kukufahamisha zaidi. Just send me message.
4 • Nitatumia same technique number mbili na number tatu kuanzisha biashara nyingine. Na biashara hii nitakayoanzisha this time ni digital marketing.
Kwasababu nimeweza kufanikiwa kwenye real estate na nimefahamu mbinu zakutumia Email Marketing kushawishi wateja sasa basi nitajitanua zaidi kwakuanza kutafuta wafanyabiashara katika maeneo mengine ili niwasaidie kwenye marketing & sales mtandaoni. Hapa nitakachofanya nikutafuta team. Si lazima nifahamu au nifanye kila kitu mwenyewe.
Kama nilivyosema skill muhimu kabisa nitakayokuwa naitegemea ni PERSUASSION kwahiyo kazi kama vile Kutengeneza Facebook Ads au mambo mengine yote ya kiteknolojia nitakuwa nawapatia team yangu.
Kufikia hapa sasa nitakiwa na leverage experience kupata watu au biashara zakufanya nazo kazi mpya lakini pia nitakuwa naendelea kukuza Email list yangu. Na ikitokea nimefikisha subscibers let say 50,000 hiyo maana yake mimi nina “soko” langu binafsi na ninaweza kutengeneza pesa nyingi bila kikwazo au kutengemea platform nyingine mfano JamiiForums au Facebook au Google Advertising. Baada ya hapa nitaendelea kutumia same techniques kuendelea kukuza Business zangu 10X.
Yes, ni hayo kwa leo na ninaomba niishie hapa.
Cheers